Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Wewe unazidi kunivunja mbavu. Isije kuwa namjua huyo kijana. Kuna kijana namfahamu alioa mwanafunzi wa UD. Ndoa ilivunjika wakiwa honeymoon. Mwanamke kasepa mpaka kesho. Hamna aliyewahi fikiri kuwa ni sababu ya kibamia. Mfano mama yangu alikuwa anasema mambo ya ndoa inawezekana wanaamini mizimu huko kwao ndiyo imewaletea nuksi.
Kuna umuhimu wa kupima aisee ili kuepuka kuwa cheaters. Ndio wale wengine wanavumilia lakini unakuta watoto wote wa nje. Maana binti anamrudia ex.
Yaan ndugu acha tu...kwa mda huu kumchukua bila kupima hapana..HATA AKIWA BABAMCHUNGAJI..ntamwambia baba tafadhali ..sitak kukuletea watoto wasio wako..stak kukuibia nje..twende tukapime...mzigo ukiwa robo nasepa..kisa cha kupata aibu?manake watu watauliza vip jen mbona talaka?utaanzaje kujibu?
au kakazako wanaulizwa vp dadayenu kisa cha talaka?
watajibu dada kaona jamaa kiduduHABA?
ahh apana...BABA ATAKA PIMA MIMI...ATAKI DANGANYA....MI OGOPA ADUDU AFUP KM KAPET..akigoma natandaza kinuno kesho yake nampa waraka wa AREJEE ALIKOTOKA KWA KUTUMIA MWONGOZO HUSIKA..
unachek vgezo vyooote mwsho wa siku angaza mwsho wa siku PMAKIFAA..kikionyesha felia basi sifa nyngne zote znakuwa counted as ZERO...
mwanaume bora awe maskini lakin KIU IKATWE..MAHELA NGOO KIDUDU KIDUCHU YAHUU?AKWENDE ZAKE.