KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Sasa umeona tatoo je umechek mlango wa huani kama haujavunjwa?alikuona wewe pono ndo maana ukuchungulia mapema kwataarifa hiyo haitafutika moyoni kwako hata akifuta bado utajua pale kulikuwa na tatoo!mwambie amteme kwani alimwona boya hivyo tupa kule.