bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,302
Hapa ni kuongeza tatizoKwahio Dawa ya mwanamke ni mwanamke 😂😂
Hapa ni kuongeza tatizoKwahio Dawa ya mwanamke ni mwanamke 😂😂
Bila shaka ndiyo kusema dawa ya moto ni motoKwahio Dawa ya mwanamke ni mwanamke 😂😂
Mahaba yako kwa Waarabu hayana mfano, nina uhakika unajuta kwa nini haukuzaliwa Mwarabu.Ukiona mwanamke "anagubu sana" ujuwe hapati haki ya unyumba anayohitaji.
Wanawake na wanaume tupo wa sampuli tofauti, vijana inabidi mlielewe hilo, kuna mtu kaweka uzi wa kitabu kizuri sana cha kuwafanya vijana mjielewe na muwaelewe wanawake na njia za kutatuwa matatizo. Tatizo kuu la unyumba, vipi unalitatuwa? Bofya chini hapo:
![]()
Bustani ya Manukato
Bustani Yenye Manukato ya Furaha ya Kihisia (1886) na Muhammad al-Nafzawi , iliyotafsiriwa kwa Kingereza na Richard Francis Burton. zinazohusiana : Ngono . Miradi Dada.miradi dada : Makala ya Wikipedia , kategoria ya Commons , bidhaa ya Wikidata . Bustani Yenye Manukato ( الروض العاطر في نزهة...www.jamiiforums.com
haya bhn ila mazoezi sio mpaka gym kama unaweza mbn hata ndan unafanya tu tafta vifaa uwe unafanyia ndan mshirikiane na mkeo anakupenda ndo maana anakuwa na gubu na wivu alafu kukwambia hvyo sio kwamba anataka mgombane wenzetu wanapelekwa na hisia kulingana na hali iliyopo muda huo akikuona unatoka gym anakuwa na hasira ndo maana mkilala asubuh kuamka nikama hakikutokea kitu



