Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,917
- 31,770
Yaani michirizi tu inakukera? na akipata ulemavu je? Mkuu relax i hope utapata dawa.
Nje ya mada kidogo, Wakuu kuna dawa ya chunusi usoni kwa mwanamke??
Zipo
Yaani michirizi tu inakukera? na akipata ulemavu je? Mkuu relax i hope utapata dawa.
Nje ya mada kidogo, Wakuu kuna dawa ya chunusi usoni kwa mwanamke??
Black soap sijaleta bado
Ila itakuwa around 35,000
Mimi huwa napenda sana hiyo mistari, naomba unipe namba zake halafu wewe nenda kachepuke hata ikibidi beba na mabegi na viatu, niachie taulo niwe najifunga nikimaliza gemu.Anaonekana mtoto mtamu sana huyoWakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Zinatoa chunusi kweli? zinaitwaje? vp bei yake?Zipo
Nitafute inbox nikuelekeze dawWakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Kuchepuka ni akimedisi principle, toka enzi. Hiyo haitegemei uzuri wa mke.
Poleni kwa michirizi lakini. Muonr Dr Mwaka
Bado sura ya usichana itaondoka inakuja ya uzee....kimbia nyumba kabisa make yajayo hayafurahishi.
JABALI LA KARNE[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]WE CHEPUKA TU ILA UWE MWELEWA SABABU KUNA VIJANA WAPYA HAWATAKUWA NA KISUKARI AU PRESHA WAKATI WEWE UNA 50+.
Sasa hivi utachepuka tu maana unatafuta uhalali.
Akipona michirizi utakuja na nyonyo zimelala, kisha maumbile yametanuka, yaani hutakosa sababu.
Mkeo hawezi acha kubadilika umri unavyosogea na anavyokuzalia hivyo chepuka ili na yeye apate uhalali vijana wachezee michirizi hiyo wakati utakapofika.
SIMPATII PICHA ALIVYOPINDISHWA KWENYE CHUMBA CHAKO MWENYEWE WAKATI WW UNAPIMWA PRESHA. MALIPO HAPA HAPA.
Khaaaa unaipenda michirizi? Upo kawaida mkuu? Unaonekana mpaka kitambi unakipenda aka mtumbo!Mwl Evelyn Salt umeongea kama utani lakini ni kwa hisia sana i can feel that! [emoji24][emoji24][emoji24] maisha hayana formula wengine michirizi tunaipenda wengine wanataka kuacha mke kabisa daa
Heshimu wake za watu!Naomba msimshauri sana poyoyo huyu, sikio la kufa linamwita. Mshaurini anipe namba za mtoto mzuri huyo, nimeona hiyo mistari nimesimamisha mpaka inauma
Akimchoka sio mke wake tena na wadau tunatumia kama fursaHeshimu wake za watu!
Elewa, sijamuacha! Nikikukuta sina huruma don't forget that! Utaf...rw na Nita recordAkimchoka sio mke wake tena na wadau tunatumia kama fursa
Noma sanaKama michirizi tu inakutoa imani sasa akikatika miguu si utakimbia nyumba kabisa.