tony22
Senior Member
- Jun 29, 2012
- 116
- 25
hiyo ndo michezo yenu mkuu, wife alikua anaiba kama kawaida ila ameamua kuzuga
ushauri wangu:
1.wote mna makosa samehaneni, then ingawa ni kweli uo mchezo ni mwendelezo usitake kuamini ili upate nguvu ya kumsamehe- yaani danganya nafsi yako
2. tayari mna familia msiwaathiri watoto kisaikologia na malezi ya ukuaji kwaiyo rudianeni alafu iwe siri yenu
3. kijana mwiba gemu muondoe haraka ata kama ni mchapakazi mahiri
nakutakia mwanzo mpya wenye mafanikio
ushauri wangu:
1.wote mna makosa samehaneni, then ingawa ni kweli uo mchezo ni mwendelezo usitake kuamini ili upate nguvu ya kumsamehe- yaani danganya nafsi yako
2. tayari mna familia msiwaathiri watoto kisaikologia na malezi ya ukuaji kwaiyo rudianeni alafu iwe siri yenu
3. kijana mwiba gemu muondoe haraka ata kama ni mchapakazi mahiri
nakutakia mwanzo mpya wenye mafanikio