Bahimba
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 510
- 346
Habari wana jamvi, poleni na majukum ya mwisho wa wiki,
mimi ni baba wa familia ya watoto wawili, ni hivi majuzi tu nilidondosha uzi hapa jamvini kwa kutaka ushauri wenu
nashukuru kwa walionipa ushauri nanikaufanyia kazi japo haujasaidia kivile, uzi wenyewe nilikosea msg kuituma kwa girl friend wangu niliokua namtaka tukutane nae hotel flani, matokeo yake msg ile nikaituma kwa my wife, kilichotokea pamoja na kumuomba msamaha mke wangu, kaamua kulipa kisasi kwa kugegedwa na house boy wetu,
ilikua jana majira ya saa moja jioni nilikwenda kufuat maziwa kwani tuna mifugo nje kido ya mji tuna poishi ambako huyo house boy wetu anatake care hao mifugo, nikiwa njiani naelekea kufuata maziwa, nilimpigia sim my wife ili kujua yuko wapi, cha ajabu sim ilikua inaita bila kupopkelewa, niliamua kuachana nae. Nilipofika nikaanza kumuita yule kijana ili nijue kama kakamua maziwa au bado, hakuitika nikaamua kwenda moja kwa moja mpaka kwenye kibanda ambacho kijana yule hua analala, sikuamini macho yangu baada ya kumkuta my wife akitoa uroda kwa kijana yule bila woga, nilitaharuki nisijue chakufanya, nilikuja kushtuka mke wangu kaisha kimbia,
nilirudi nyumbani huku nisijue nini cha kufanya, nilipofika nyumbani sikumkuta mke wangu,
niliamua kulala kwa kujua atakua amekimbilia nyumbani kwao. Leo kanipigia sim kwa kuniomba msamaha kwa kitendo alichofanya na kilichomsukuma kufanya vile nikulipa kisasi cha kosa nililolifanya mim baada ya kugundua kua kumbe nina girl friend nje,
wana jamvi naombeni ushauri nifanye nini.
mimi ni baba wa familia ya watoto wawili, ni hivi majuzi tu nilidondosha uzi hapa jamvini kwa kutaka ushauri wenu
nashukuru kwa walionipa ushauri nanikaufanyia kazi japo haujasaidia kivile, uzi wenyewe nilikosea msg kuituma kwa girl friend wangu niliokua namtaka tukutane nae hotel flani, matokeo yake msg ile nikaituma kwa my wife, kilichotokea pamoja na kumuomba msamaha mke wangu, kaamua kulipa kisasi kwa kugegedwa na house boy wetu,
ilikua jana majira ya saa moja jioni nilikwenda kufuat maziwa kwani tuna mifugo nje kido ya mji tuna poishi ambako huyo house boy wetu anatake care hao mifugo, nikiwa njiani naelekea kufuata maziwa, nilimpigia sim my wife ili kujua yuko wapi, cha ajabu sim ilikua inaita bila kupopkelewa, niliamua kuachana nae. Nilipofika nikaanza kumuita yule kijana ili nijue kama kakamua maziwa au bado, hakuitika nikaamua kwenda moja kwa moja mpaka kwenye kibanda ambacho kijana yule hua analala, sikuamini macho yangu baada ya kumkuta my wife akitoa uroda kwa kijana yule bila woga, nilitaharuki nisijue chakufanya, nilikuja kushtuka mke wangu kaisha kimbia,
nilirudi nyumbani huku nisijue nini cha kufanya, nilipofika nyumbani sikumkuta mke wangu,
niliamua kulala kwa kujua atakua amekimbilia nyumbani kwao. Leo kanipigia sim kwa kuniomba msamaha kwa kitendo alichofanya na kilichomsukuma kufanya vile nikulipa kisasi cha kosa nililolifanya mim baada ya kugundua kua kumbe nina girl friend nje,
wana jamvi naombeni ushauri nifanye nini.