Mke wangu amelipiza kisasi,nifanye nini.

Mke wangu amelipiza kisasi,nifanye nini.

Kumsamehe tu na muendele na maisha,
Nazani hatorudia tena na wewe ushakoma kutoka nje ya ndoa.

Mkeo ni mtu mbaya sana, yaani hakuwaona wanaume wote hadi akalale na kijana wa kazi?
unaweza kufumnguliwa mashtaka ya rushwa ya ngono. Kamuaribu kijana wa watu kwa vile anaitaji kazi, masikini we
 
Ikifikia hapo hakuna ndoa kaka. Iweje pumziko apewe house boy. We live only once on this earth dont intertain such stupidity and shameful revange. piga chini huyo. Dunia itakucheka.
 
Kama ulivyokua mchezo wako kugegeda nje nae ndo mchezo wake kugegedwa ila tatizo yeye kakufuma kwa SMS wewe umemfuma LIVE pole hapo akili kumkichwa
 
Msamehe na uendelee kula papuchi kwa sababu unaweza kumtimua na ukapata kimeo zaidi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom