Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Siku ukiuza game ndio hizi thread unaziona yaniiNyuzi kama hizi wale wa kula tunda kimasihara huwa hawazifungui.
Siku ukiuza game ndio hizi thread unaziona yaniiNyuzi kama hizi wale wa kula tunda kimasihara huwa hawazifungui.
Hapa natetemekaNmesoma mpaka mwili umenisisimka
Aisee UKIMWI usikie kwa mwenzako

MmmhMimi nawaambiaga watu UKIMWI ni zaidi ya corona, nishauguza waathirika unatesa sana, CONDOM MUHIMU INASAIDIA


Sasa huu si ungese jamaniKuna rafiki yangu alikuwa anamchumbia binti ikafika mda wa harusi ,Kama kawaida kuna baadhi ya makanisa huwezi kufunga bila vipimo,jamaa akaonekana ameathirika,akaachwa na mwanamke hapo hapo ,jamaa kidogo afe kwa mawazo ,baada ya Kama miezi 6 akapima tena ikaonekana hajaathirika ,akafululiza kupima kila baada ya miezi 3 jamaa bado anaonekana si mwathirika .


Huyo jamaa alichezewa hospitalinCha kushangaza baada ya Kama miezi 6 msichana akaolewa na jamaa mwingine ,hiyo kidogo ilitushtua kwamba imekwaje gafla hivo ,inawezekana maruweruwe au daktari katoa vipimo feki
Wameshasema, ni side effects za ARVsNaomba ufafanuzi kwa anayeelewa juu ya uyo mwanamke kuwa na mapaja ya njano na mgongo njano kisha akiamka inapotea,
Wajuzi hii mbona kama imekaa kiaina ya kuogofya ni nin wakuu.
AhaaaahaaahaaaNi mkeo au mwanamke unaishi naye tu akasema ana Mimba? Mimba ni yako au ilimpendeza wewe kuwa baba? Nakuuliza kwa sababu anaonekana kuwa mwanamke mjanja mjanja, anajua hadi kunywa ARV bila stress.









Mkuu we ni shupavuPole sana Mkuu hzo ni changamoto tu unaptia kikubwa huyo mwanamke alitakiwa kukuweka waz kwamba tayar yeye anatumia dawa sababu ni vitu vya kawaida tu
Mfano mim na miaka 17 natumia ARVs tangu kuzaliwa na najikubal na kujpenda sana
Na huu ndo uhalisiaNina wasiwasi huyo Mkeo ana ngoma kitambo sana hata kabla ya mimba na inaonekana anatumia "mbaazi" kwa muda mrefu hata kabla ya ujauzito au hata kabla ya kuwa na wewe ndio maana haujapata.


To sodomize ndo msala upo hapo...huchukui round bacteria hawa hapaHuo ukimwi hata nashindwa kumuelewa jamaa angu alikuanaendelea na kabint ambacho kalizaliwa na hiv na jamaa alikuwa ameoa uwez amini hata ajamuambukiza mke na yey mwenyewe Hana na hapendi kutumia kondom ajabu Sanaanasema jitaidi kusitokee michubuko tu Ila ukimw kuukwaa Ni vigumu sana

😆😆 Nashangaa ingekuwa katoa story kwa jamaa wa mtaani sawa ingekuwa boko, but humu hatujuani na hizi ID zetu feki zinatupa uhuru kushare matatizo yetu ambayo tunashindwa kuwaambia watu wetu wa karibuWe ndiyo unajiabisha? Unamjua?
Usijidanganye ukahatarisha afya yako, mwanaume ndio ana risk ndogo ya kuambukizwa ukimwi na mwanamke.To sodomize ndo msala upo hapo...huchukui round bacteria hawa hapa![]()
Ficha upumbavu wako, maradhi hayatokani na ndoa, bali ngono zembe.Ndoa kama NDOA.
Mmmh ndoa NGUMU nyie.
Nikiwaambia msioe utasikia ""UNA MATATIZO YA SAIKOLOJIA""
Mmmh haya bana ENDELEENI TU KULA MIJEREDI.
MUNGU awaongoze...
#YNWA
Mkuu ni kijiji gani huko nahitaji kufanya utalii wa ndani.Tatizo ni ngono zembe vijana hawajali kabisa halafu wapo aged 18/22,july nilisafiri mkoani huko usiku mmoja wakati narudi home nipo na dogo wangu tukasikia (palikuwa na kama kibonde) watu wanabishana “oya zamu yangu zamu yangu” nikamuuliza dogo siku hizi bangi huku vijijini mnavuta usiku mmejificha vichakani?akaniambia hao hawavuti bangi ni vijana wa bodaboda wanashirikiana kwenye ngono.
Na hiyo michezo ya kishenzi wanafanya na ma-bar maid wanaotoka mikoa mingine so kama wakaja na maradhi mabaya unaweza kuona jinsi numbers zitakavyosoma hapo.
Anataka habari za diamond na wemaUnahisi umeandika kitu cha maana Sana?!