Mke wangu amekutwa HIV+

Mke wangu amekutwa HIV+

Pamoja na ubize wangu wote,,kitu cha kwanza kuangalia ilikuwa ni card yake ya kliniki baada ya kuwa mjamzito na wala haina shida
Kuna uwezekana yupo bado Negative- Uenda wakati anapima matokeo yake yakaja kama false POSITIVe .Umesema kuwa ulimpima tena ukamkuta ana hapa 1. Vira load ipo chini sana Kwa Hiv antbodies kuwa detected. 2. Ana na ajawai kuwa na HIV infections ila wakati anapima matokea yakaja false POSITIVE..Itabidi uende hospital kubwa zenye mitambo ambayo inaona Virus wenyewe na sio hivi vidude vinavyodetect just antibodies za HIV

Screenshot_20211005-221444.png
 
Nimesoma, kuna uwezekano huyu dada watu wanamnanga na kumtusi lakini ukute ugonjwa alionao si HIV, halafu hizi rapid hata wanawake wenye ujauzito ni common sana kutokea false ve+...
mi naona aende mbele zaidi katika vipimo na pia akae aongee na mkewe kiutu uzima, sababu cha kuangalia sasa ni namna ya kutatua shida na si kulaumiana cause hakuna faida zaidi ya hasara na kumletea mtoto mazingira magumu...
 
Amini amini Nakuambia, mkeo aligundulika kuwa ni HIV +ve ile siku ya kwanza ameenda kuanza kliniki. Ni ile siku aliyopima HB, VDRL, BLOOD GROUP, URINALYSIS na PITC. Kama unataka kuamini nenda huko kituo cha afya anakochukulia dawa, then m-face mtoa huduma in friendly manner then mwambie jinsi mkasa ulivyo ila mwambie unachotaka kujua ni lini mkeo alianza kupewa ARV maana data zote wanazo
 
Kama ni kweli alikuwa anaamini wewe ndiye uliyemwambukiza basi asingelikuwa anameza dozi kwa kificho...

Pili, angekuwa wa kwanza kuanzisha mazungumzo nawe kujadili hali yako ya kiafya...

Kaupataje, hilo ni jibu ako nalo yeye...

Nini cha kufanya,

1. Pimeni tena afya zenu

2. Leeni mtoto wenu na aache kumnyonyesha mtoto kwa njia ya titi...
 
Nimesoma, kuna uwezekano huyu dada watu wanamnanga na kumtusi lakini ukute ugonjwa alionao si HIV, halafu hizi rapid hata wanawake wenye ujauzito ni common sana kutokea ve+...
mi naona aende mbele zaidi katika vipimo na pia akae aongee na mkewe kiutu uzima, sababu cha kuangalia sasa ni namna ya kutatua shida na si kulaumiana cause hakuna faida zaidi ya hasara na kumletea mtoto mazingira magumu...
Kabisa mkuu.Je Mtoto ana status gani? hapa aende hospital zenye system za kuona virus wenyewe na sio hizi zenye angalia ant bodies
 
Duuuu! Pole hapo lazima ufikirie kiupande mwingine zaidi labda kunanamna ila mshirikishe mungu huo ugonjwa pia unapona mbona;
Imani ni kitu cha muhinu.
 
Kuna uwezekana yupo bado Negative- Uenda wakati anapima matokeo yake yakaja kama false POSITIVe .Umesema kuwa ulimpima tena ukamkuta ana hapa 1. Vira load ipo chini sana Kwa Hiv antbodies kuwa detected. 2. Ana na ajawai kuwa na HIV infections ila wakati anapima matokea yakaja false POSITIVE..Itabidi uende hospital kubwa zenye mitambo ambayo inaona Virus wenyewe na sio hivi vidude vinavyodetect just antibodies za HIV

View attachment 1964562
Hapo una maana waende kwenye vipimo kama ELISA
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anamchumbia binti ikafika mda wa harusi ,Kama kawaida kuna baadhi ya makanisa huwezi kufunga bila vipimo,jamaa akaonekana ameathirika,akaachwa na mwanamke hapo hapo ,jamaa kidogo afe kwa mawazo ,baada ya Kama miezi 6 akapima tena ikaonekana hajaathirika ,akafululiza kupima kila baada ya miezi 3 jamaa bado anaonekana si mwathirika .
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anamchumbia binti ikafika mda wa harusi ,Kama kawaida kuna baadhi ya makanisa huwezi kufunga bila vipimo,jamaa akaonekana ameathirika,akaachwa na mwanamke hapo hapo ,jamaa kidogo afe kwa mawazo ,baada ya Kama miezi 6 akapima tena ikaonekana hajaathirika ,akafululiza kupima kila baada ya miezi 3 jamaa bado anaonekana si mwathirika .
Duh mbona inashtua hii!!

Isije ikawa maluwe luwe ama dokta alitoa majibu feki??????
 
Hukupiga picha mapaja yake tuone hiyo rangi?

Siwezi kulala kitanda kimoja na mwanamke ambaye ni mke wangu for that long bila kujamiiana kwa sababu ya kitoto kama hiyo.

Wewe ni mzungu au mkeo ndiyo anakuweka mjini?

Ungevaa sura ya Hamza toka anakubania Tendo bila shaka ungewahi kuujua ukweli!

Pole kwa mtihani.
 
huyu naye ana same issue??
ah kaka haya mambo yasikie tu kwa mwenzako, wanawake wanaumiza sana vichwa vyetu kwakweli, kuna msela yuko huku ana kila kitu kwa hela ya huku nje anayofanyia kazi anapokea karibia M1na zaidi ya laki 6 kwa wiki kwamakisio ukimwambia utaoa lini mkuu anaogopa hata kuongea maswala ya ndoa nafkiri kashaathirika kisaikologia kwa matukio ya watu kutafuniwa, jamaa umri unaenda
 
Back
Top Bottom