yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,901
- 4,128
😂😂😂huyu naye ana same issue??Duh, pole sana mkuu
Usiseme ivyo ndugu labda hayajakukuta.Thread zingine ni za kujiaibisha tu.
Alikuw hataki aone huo unjano mkuu;Angekuwa anampenda angemwqmbia tu baada ya kupima na kupata majibu hayoNilichogundua huyo demu anakupenda sana ndio maana akawa hataki mfanye ngono, asije akakuambukiza.
Pole sana mkuu hizo ndio changamoto za maisha. Shukuru Mungu uko salama.
Wataalamu nauliza, mtu mwenye HIV anakuwa na mapaja ya njano?
Pole mkuu... Nimejiskia vibaya kwa ajili yakoHospital wanasema kupimwa Hadi afikishe miezi 18.
Oppurtunistic infections zimeanza nini?ila jamani kupima afya kila mara ni muhimu imagine mtu umekaa naye mda wote na hujui chochote na inaonekana bibie ana mda tangu apate ngomaHerpetites b hyo labda
Inawezekana hata alikuwa nao mda utashangaa jamaa hajawahi angalia hata kadi ya klinikHii haina ubishi wife kachepuka,vuta subra dogo akue,then piga chini...
Comment zingine ni za kujiaibisha,yaani kupitia comment mtu anaeza jua we ni aina ganiThread zingine ni za kujiaibisha tu.