mkuu nina swali binafsi.Lamivudine ( Moja ya Dawa kwenye muunganiko wa Madawa yanayotumika)
Ndio husababisha NGOZI KUA YA NJANO.
Ww uko sawa kabisa. NI HIV NEGATIVE. ACHANA KABISA NA HUYO MWANAMKE. ATAKUCHOMA HATA SINDANO YENYE VIRUSI ILI NA WW UATHIRIKE. NI MUUAJI HUYO. Inawezekana kabisa kwa mwanaume kutoambukizwa vizuri na mwanamke wake aliyeathirika kwa sababu kadhaa hivi. Moja ni ugumu wa mwanaume kupata HIV ukilinganisha na mwanamke sababu ya maumbile. Pili ni U=U kama amekuwa anatumia hizo dawa. LAKINI KAA KABISA MBALI NA HUYO AISEE. ACHANA NAYE KABISA NI MWONGO WA HATARI KABISA. ALIPEWA VVU NA MTU NA HATAKI KUKIRI HILO. AMEKUWA ANAKUDANGANYA SIKU NYINGI SANA AKIKUFICHA UKWELI.. ETI LEO ANASEMA UONGO MWINGINE KWAMBA HAJACHEPUKA NA WW UNAMWAMINI????Habari za wakati huu JF?
Ndugu zangu Nina kisa cha kusikitisha ambacho ningependa kupata mawazo kutoka kwenu.
Nitajitahidi kuandika Kwa ufupi kadiri iwezekanavyo. Jitahidi tu usome upate cha kuniambia Yani.
Iko hivi, ninaishi na binti ambaye tumebahatika kupata mtoto mmoja wa mwaka na miezi miwili sasa.
Kisa chenyewe ni kwamba Tangu mwenzangu Huyu akiwa mjamzito wa miezi mitano (April/2020) sikuwahi kushiriki naye mapenzi hata romance yaani Hadi hivi leo mtoto ana mwaka mmoja na miezi miwili. Hii ilikuwa ni kumfanya apate nafasi ya kupumzika Hadi atakapojifungua, na hili tulikubaliana kabisa.
Sasa miezi kadhaa baada ya kujifungua bado akawa hataki hata nimguse yani. Alikuwa anasema ni Kwa sababu Hana hisia kabisa za mapenzi kutokana na kumbukumbu za maumivu wakati wa kujifungua. ( Ikumbukwe alijifungua kawaida kabisa uzao wake huu wa kwanza). Kutokana na Mimi kuwa mtu wa kusafiri huku na kule kutafuta riziki sikuwa na nafasi yakuweza kujua mienendo yake nikiwa mbali. (Yeye ni mwalimu wa primary school).
Hali imeendelea hivyo,, hataki kabisa hata nimguse. Ukimgusa tu ni ugomvi mkubwa. Sasa Kama mwezi mmoja umepita nilitoka kwenye mishe zangu huko kusini mwa nchi yetu,, nikiwa home jioni moja nikaona anameza dawa ambazo sikuwahi ziona kabla, nikashtuka kidogo maana alikuwa anameza Kwa kuibia hivi! Nikamuuliza vipi unaumwa? Akajibu ni kichwa ndo maana anameza paracetamol. Lakini ukweli hazikuwa paracetamol! Nikasubiri nilipopata nafasi kuziangalia zile dawa nikakuta ni " ISONIAZID" ambazo haraka niliingia mtandaoni nikagundua ni za Tuberculosis (TB).
Nilipomuuliza akasema walipita watu shuleni kwao ( yeye ni mwalimu) wanagawa eti wamepewa Kama prevention! Kama wanavyofanyaga Kwa dawa za minyoo n.k
Japo nilishashutuka,, nikaamua kukaa kimya kwanza ili nisivuruge uchunguzi wa kina. Sasa wiki iliyopita tukiwa tumelala usiku (taa zinawaka chumbani Kwa ajili ya mtoto), nilishtuka tu baada ya mtoto kuanza kulia bila Shaka ilikuwa ni njaa. Lakini mwenzangu hakushtuka labda kutokana na uchovu wa siku mzima. Hapo ndipo niliona ngozi za mapaja yake zikiwa na njano kabisa Kama ndizi mbivu!
Nikashtuka sana! Yeye aliposhtuka, baada ya muda kidogo Ile njano ikapotea akawa kawaida tu. Nikahisi labda ni Maruweruwe ya usingizi, hivyo sikumuuliza nikakausha.
Usiku uliofuata nikafanya sasa kuvizia nione Kama lilikuwa wenge au lah! Mambo yakawa vile vile! Nikasema ngoja nione tena na leo siku ya tatu,, Mambo yakawa vile vile rangi ya ngozi hasa huko mapajani ni njano kabisa na safari hii Hadi sehemu za mgongoni. Nikavunja ukimya, nikamuuliza lakini alinijibu Kwa kunibeza; "....eti haaa, mi najua umeniamsha kuna Jambo la maana kumbe ni...."
Hapo sasa akili ikanikaa nikajua rasmi anafahamu vema juu ya hilo. Asubuhi nikachelewa kutoka nyumbani lengo nifanye msako mkali labda kuna dawa Zaidi na labda anaumwa lakini anaficha..
Kwa bahati nzuri nikakutana na dawa kwenye mfuko wa kawaida tu ( zimeandikwa " LA 75". nika-googgle chap nikaambiwa ni Lamivudine! Aina mojawapo ya ARVs! Moyo ukapasuka! Nilitoka nikaenda kwanza kanisani akili itulie.
Jioni baada ya yeye kurudi nikamwita chumbani Kwa Sura ya kigaidi na mkanda mkononi,, (sikuwahi kamwe kumpiga) lakini ilibidi nivae Sura hiyo.. baada ya kumuuliza akawa mkali anabisha, nikafungua mkoba wenye hizo dawa nikamwonesha kisha nikashika vema mkanda mkononi. Kabla ya kuanza kichapo akaomba nisimpige atanieleza kila kitu. Basi Akafunguka..kwamba amegundua ameathirika huu ni mwezi wa sita sasa! Na alijua ni Mimi ndo nimemuambukiza ndiyo sababu ya kunichukia Kwa kipindi chote kile hata asitake nimguse!
Jioni hiyo hiyo nikaenda kupima,, Niko negative. Nikapita pharmacy moja hapa mjini pia nikanunua vile vipimo nikaja navyo nyumbani akanipima yeye mwenyewe maana ameshakuwa mtaalamu.. nikakuta negative pia.
Mengine yaliyoendelea siyo muhimu ,,lakini anasema hajawahi kuchepuka Kwa kipindi chote hicho. Sasa nikabaki na maswali inawezekana vipi mtu apimwe mara tatu wakati wa ujauzito awe negative, hajachepuka halafu miezi kadhaa baada ya kujifungu awe positive? Na Mimi mwenyewe sina maambukizi?!!
Hebu tieni neno wakuu. Nahisi kuvurugwa kabisa yaani. Kuhusu mtoto wanadai hawezi kupimwa Hadi afikishe miezi 18. Lakini Kwa mwonekani dogo yupo na afya njema.
Mnadhani possibility ya kuambukizwa ipo wapi Kama hakuchepuka?
Dah! Mungu nisaidie.
View attachment 1964380
Hana bhana. Msiwe mnaandika tu vitu utadhania mnajua mnachoongea.Pima vizuri mkuu. Usijiridhishe na hayo majibu. Lazima unao tu.
Kuna dadaangu,hadi tarehe ya harusi ilipangwa,baada ya wiki moja ya ndoa,mama wa bidada akasema hapa mkapime kwanza yaani alikuwa amuamini mkaka...........oooooh kwenda kupima,bidada kakutwa nao mkaka yupo safi......asee mdada alilia balaa,akamwambia mkaka tufunge ndoa tu nikakae ata wiki moja nitudi ngumbanKuna rafiki yangu alikuwa anamchumbia binti ikafika mda wa harusi ,Kama kawaida kuna baadhi ya makanisa huwezi kufunga bila vipimo,jamaa akaonekana ameathirika,akaachwa na mwanamke hapo hapo ,jamaa kidogo afe kwa mawazo ,baada ya Kama miezi 6 akapima tena ikaonekana hajaathirika ,akafululiza kupima kila baada ya miezi 3 jamaa bado anaonekana si mwathirika .
mkaka alijaza no ndoa,japo alitoa kila kitu alisamehe.Na huyo mwanamke kwa kumsaidia, mwambie wabadilishe madawa. Hayo madawa yanaharibu Liver (maini) yake. Yanamuongezea bilirubin mwilini ambayo inaharibu zaidi maini. Na ndio maana ni wa njano hivyo kwa ngozi. Baadhi ya Hizo dawa za ARVs yani zina side effects mbaya sana sana acha tu. Atapata liver failure mwisho wa siku. Wamtafutie madawa mengine mbadala.Habari za wakati huu JF?
Ndugu zangu Nina kisa cha kusikitisha ambacho ningependa kupata mawazo kutoka kwenu.
Nitajitahidi kuandika Kwa ufupi kadiri iwezekanavyo. Jitahidi tu usome upate cha kuniambia Yani.
Iko hivi, ninaishi na binti ambaye tumebahatika kupata mtoto mmoja wa mwaka na miezi miwili sasa.
Kisa chenyewe ni kwamba Tangu mwenzangu Huyu akiwa mjamzito wa miezi mitano (April/2020) sikuwahi kushiriki naye mapenzi hata romance yaani Hadi hivi leo mtoto ana mwaka mmoja na miezi miwili. Hii ilikuwa ni kumfanya apate nafasi ya kupumzika Hadi atakapojifungua, na hili tulikubaliana kabisa.
Sasa miezi kadhaa baada ya kujifungua bado akawa hataki hata nimguse yani. Alikuwa anasema ni Kwa sababu Hana hisia kabisa za mapenzi kutokana na kumbukumbu za maumivu wakati wa kujifungua. ( Ikumbukwe alijifungua kawaida kabisa uzao wake huu wa kwanza). Kutokana na Mimi kuwa mtu wa kusafiri huku na kule kutafuta riziki sikuwa na nafasi yakuweza kujua mienendo yake nikiwa mbali. (Yeye ni mwalimu wa primary school).
Hali imeendelea hivyo,, hataki kabisa hata nimguse. Ukimgusa tu ni ugomvi mkubwa. Sasa Kama mwezi mmoja umepita nilitoka kwenye mishe zangu huko kusini mwa nchi yetu,, nikiwa home jioni moja nikaona anameza dawa ambazo sikuwahi ziona kabla, nikashtuka kidogo maana alikuwa anameza Kwa kuibia hivi! Nikamuuliza vipi unaumwa? Akajibu ni kichwa ndo maana anameza paracetamol. Lakini ukweli hazikuwa paracetamol! Nikasubiri nilipopata nafasi kuziangalia zile dawa nikakuta ni " ISONIAZID" ambazo haraka niliingia mtandaoni nikagundua ni za Tuberculosis (TB).
Nilipomuuliza akasema walipita watu shuleni kwao ( yeye ni mwalimu) wanagawa eti wamepewa Kama prevention! Kama wanavyofanyaga Kwa dawa za minyoo n.k
Japo nilishashutuka,, nikaamua kukaa kimya kwanza ili nisivuruge uchunguzi wa kina. Sasa wiki iliyopita tukiwa tumelala usiku (taa zinawaka chumbani Kwa ajili ya mtoto), nilishtuka tu baada ya mtoto kuanza kulia bila Shaka ilikuwa ni njaa. Lakini mwenzangu hakushtuka labda kutokana na uchovu wa siku mzima. Hapo ndipo niliona ngozi za mapaja yake zikiwa na njano kabisa Kama ndizi mbivu!
Nikashtuka sana! Yeye aliposhtuka, baada ya muda kidogo Ile njano ikapotea akawa kawaida tu. Nikahisi labda ni Maruweruwe ya usingizi, hivyo sikumuuliza nikakausha.
Usiku uliofuata nikafanya sasa kuvizia nione Kama lilikuwa wenge au lah! Mambo yakawa vile vile! Nikasema ngoja nione tena na leo siku ya tatu,, Mambo yakawa vile vile rangi ya ngozi hasa huko mapajani ni njano kabisa na safari hii Hadi sehemu za mgongoni. Nikavunja ukimya, nikamuuliza lakini alinijibu Kwa kunibeza; "....eti haaa, mi najua umeniamsha kuna Jambo la maana kumbe ni...."
Hapo sasa akili ikanikaa nikajua rasmi anafahamu vema juu ya hilo. Asubuhi nikachelewa kutoka nyumbani lengo nifanye msako mkali labda kuna dawa Zaidi na labda anaumwa lakini anaficha..
Kwa bahati nzuri nikakutana na dawa kwenye mfuko wa kawaida tu ( zimeandikwa " LA 75". nika-googgle chap nikaambiwa ni Lamivudine! Aina mojawapo ya ARVs! Moyo ukapasuka! Nilitoka nikaenda kwanza kanisani akili itulie.
Jioni baada ya yeye kurudi nikamwita chumbani Kwa Sura ya kigaidi na mkanda mkononi,, (sikuwahi kamwe kumpiga) lakini ilibidi nivae Sura hiyo.. baada ya kumuuliza akawa mkali anabisha, nikafungua mkoba wenye hizo dawa nikamwonesha kisha nikashika vema mkanda mkononi. Kabla ya kuanza kichapo akaomba nisimpige atanieleza kila kitu. Basi Akafunguka..kwamba amegundua ameathirika huu ni mwezi wa sita sasa! Na alijua ni Mimi ndo nimemuambukiza ndiyo sababu ya kunichukia Kwa kipindi chote kile hata asitake nimguse!
Jioni hiyo hiyo nikaenda kupima,, Niko negative. Nikapita pharmacy moja hapa mjini pia nikanunua vile vipimo nikaja navyo nyumbani akanipima yeye mwenyewe maana ameshakuwa mtaalamu.. nikakuta negative pia.
Mengine yaliyoendelea siyo muhimu ,,lakini anasema hajawahi kuchepuka Kwa kipindi chote hicho. Sasa nikabaki na maswali inawezekana vipi mtu apimwe mara tatu wakati wa ujauzito awe negative, hajachepuka halafu miezi kadhaa baada ya kujifungu awe positive? Na Mimi mwenyewe sina maambukizi?!!
Hebu tieni neno wakuu. Nahisi kuvurugwa kabisa yaani. Kuhusu mtoto wanadai hawezi kupimwa Hadi afikishe miezi 18. Lakini Kwa mwonekani dogo yupo na afya njema.
Mnadhani possibility ya kuambukizwa ipo wapi Kama hakuchepuka?
Dah! Mungu nisaidie.
View attachment 1964380
halafu haya mambo heri kuwa na mazoea ya kufanya vipimo,maana unaweza kuwaza ulipokosea hupaoni mara gafla umeathirikaKuna dadaangu,hadi tarehe ya harusi ilipangwa,baada ya wiki moja ya ndoa,mama wa bidada akasema hapa mkapime kwanza yaani alikuwa amuamini mkaka...........oooooh kwenda kupima,bidada kakutwa nao mkaka yupo safi......asee mdada alilia balaa,akamwambia mkaka tufunge ndoa tu nikakae ata wiki moja nitudi ngumbanmkaka alijaza no ndoa,japo alitoa kila kitu alisamehe.
Unatetea upumbavu, nyieeeA very long,long narration!Sasa tatizo ni nini?Lipi la ajabu?Unataka kuyaumba mapya yakutokee puani.Tulia uone mnaliwekaje suala hilo.
Wadada Tanzania wengi sana wameathirika siku hizi. Mimi na vipimo vyangu binafsi nimevinunua India na Nimeshakuta waDada kadhaa wako Positive, na wao hata walikuwa hawajijui. Ila niliwataftia msaada sikuwatupa tu. HIV ipo sana, na watu wanacheza cheza tu.Kuna dadaangu,hadi tarehe ya harusi ilipangwa,baada ya wiki moja ya ndoa,mama wa bidada akasema hapa mkapime kwanza yaani alikuwa amuamini mkaka...........oooooh kwenda kupima,bidada kakutwa nao mkaka yupo safi......asee mdada alilia balaa,akamwambia mkaka tufunge ndoa tu nikakae ata wiki moja nitudi ngumbanmkaka alijaza no ndoa,japo alitoa kila kitu alisamehe.
Mashetani kabisaaaKachepuka huyo kwanini alikuwa anameza kwa kificho, alikuwa hataki wewe ufahamu. Umemgundua anakugeuzia kibao yaani wamama wengine ni mashetani wakubwa.
Shukuru mungu wewe ni mzima na maisha inabidi yaendelee
Wewe jamaa huna akili kabisa ndy umeandika nini hapo??A very long,long narration!Sasa tatizo ni nini?Lipi la ajabu?Unataka kuyaumba mapya yakutokee puani.Tulia uone mnaliwekaje suala hilo.
Hili ndio jibuNina wasiwasi huyo Mkeo ana ngoma kitambo sana hata kabla ya mimba na inaonekana anatumia "mbaazi" kwa muda mrefu hata kabla ya ujauzito au hata kabla ya kuwa na wewe ndio maana haujapata.
Ni kweli,lakini baadhi ya watu wanaona kupima ni kujipa presha.halafu haya mambo heri kuwa na mazoea ya kufanya vipimo,maana unaweza kuwaza ulipokosea hupaoni mara gafla umeathirika
anasema jitaidi kusitokee michubuko tu Ila ukimw kuukwaa Ni vigumu sanaYap ni kweli,asilimia kubwa ya wadada wameathirika,yaani ni vibinti vidogo ata 30yrs havijafika.Wadada Tanzania wengi sana wameathirika siku hizi. Mimi na vipimo vyangu binafsi nimevinunua India na Nimeshakuta waDada kadhaa wako Positive, na wao hata walikuwa hawajijui. Ila niliwataftia msaada sikuwatupa tu. HIV ipo sana, na watu wanacheza cheza tu.