Mke wa mwanajeshi mstaafu Amenizimia

Mke wa mwanajeshi mstaafu Amenizimia

Kwa uzoefu nilionao wake za wanajeshi kuchukuliwa ni easy lakini ukibainika muraa historia inaonesha wanaua na ushahidi ni nao.
 
Yaani,j.f ina watunzi wazuri katoto ka miaka 29...kametongozwa na mke wa mjeda mstaafu! Haya bana...hizi kiki too much thatha.
 
Unaijua kadebra wewe kijana? Unajua kucrawl, kuroli,kubeba dunia,mapenzi ya nyoka,kibatabata,kunyonya mafuta...etc kama una nguvu fanya tu ako kamchezo
 
Hahaaa hizi stori zenu bana!

Utadhani wote huwa mnaambiana jinsi ya kuziandika.

Huenda labda huwa mnaigana nyie.

Eti "Mie ni kijana ambae sijafika miaka 30 Nina kazi yangu ambayo inaniingizia kipato na Nina make, Mungu amejaalia nimefanikiwa kujenga nyumba mbili ndani ya kiwanja kimoja pande za Salasala DSM japo moja bado haijakwisha"

Pure hilarity!
Hahahhh wanataka kutuvutia
 
Kijana una hatari...Huyu mjeshi na ulivojielezea yaan akikuta hii thread lazima akujue....mimi nshakujua kabisaaa!Its too risk kutoa details zako/mtu ...
 
Mke wa mtu sumu, subilia na ww mkeo siku alete thread umu anatongozwa na mjeshi mstaafu hvi mpoje nyie wanaume mbona hamridhiki uyo mama wa nini ana utamu gani tulia na mkeo mnakera sana
 
Kitakachofuata......
 

Attachments

  • TMPDOODLE1472487143972.jpg
    TMPDOODLE1472487143972.jpg
    37.7 KB · Views: 38
Kwa uzoefu nilionao wake za wanajeshi kuchukuliwa ni easy lakini ukibainika muraa historia inaonesha wanaua na ushahidi ni nao.
Teh teh na huyo mama ni mtu mzima kabisa lakini nimeshindwa kumuelewa kabisa ni sawa na mama yang
 
Mke wa mtu sumu, subilia na ww mkeo siku alete thread umu anatongozwa na mjeshi mstaafu hvi mpoje nyie wanaume mbona hamridhiki uyo mama wa nini ana utamu gani tulia na mkeo mnakera sana
shunie mbona umenihukumu kabisa sijasema nimetembea nae hebu soma vizuri post ndio ucomment
 
Kijana una hatari...Huyu mjeshi na ulivojielezea yaan akikuta hii thread lazima akujue....mimi nshakujua kabisaaa!Its too risk kutoa details zako/mtu ...
Hawezi nipata wewe kuna baadhi ya details zijaziweka hapa
 
Unaijua kadebra wewe kijana? Unajua kucrawl, kuroli,kubeba dunia,mapenzi ya nyoka,kibatabata,kunyonya mafuta...etc kama una nguvu fanya tu ako kamchezo
Nimekusoma Mkuu vipi nimkwepeje Huyu mama maana mie mwenyewe simuhitaji
 
Unakoelekea unaenda tembea nae ungemkataa ata thread usingeleta umu
Wewe una lako jambo naomba ushauri wa namna ya kumkwepa bado unasema nakoelekea nitamgegeda na ningemgegeda ndio hata nisingekuja humu
 
Wewe una lako jambo naomba ushauri wa namna ya kumkwepa bado unasema nakoelekea nitamgegeda na ningemgegeda ndio hata nisingekuja humu
Achana nae mpotezee atakuletea matatizo tena mwambie ukiendelea ntamwambia mumeo na mke wangu no yake futa atakuletea matatizo
 
Achana nae mpotezee atakuletea matatizo tena mwambie ukiendelea ntamwambia mumeo na mke wangu no yake futa atakuletea matatizo
Asante namba alinipa kwenye karatasi na sikuisave na niiacha huko huko site ila ushauri wako umekuwa mzuri nitamwambia hivyo asante
 
Back
Top Bottom