Ukweli nimeku mind maana umeona kama umrandika Thread yenye akili kumbe ujinga.Kuna mambo ya msingi tunapaswa kuyajadili kama vijana walio pevika akili and not such nonsense at all.Naona Mkuu una hasira sana hata sijui nimekukosea nini, siku nyingine jaribu kuwa mstarabu ungeandika kwa lugha ya kistaarabu ungeeleweka zaidi kuliko ulichokiandika hapa
Anza ww kuandika hayo mambo ya akili, maana kwa comments zako naona bora ya mieUkweli nimeku mind maana umeona kama umrandika Thread yenye akili kumbe ujinga.Kuna mambo ya msingi tunapaswa kuyajadili kama vijana walio pevika akili and not such nonsense at all.
Naona umeamua kunivunjia heshimaUkienda huko unakosema ni site (although I believe ni uongo) kwenye mfuko wa shati weka mafuta ya baby care kabisa, maana siku si nyingi utatuletea mrejesho wa ulichofanyiwa na huyo Mjeda mwenye mke.
Bado sijaamuaMkuu hiyo nyumba yako moja ambayo bado haijaisha unapangisha?
Basi sawaBado sijaamua
Vaa uhusika wa yule mwanajeshi, chukulia sasa wewe ndiyo yeye alafu mimi nina andika ulivyo andika , hebu nishauri hapa sasa nimfanyaje mkeo?Anza ww kuandika hayo mambo ya akili, maana kwa comments zako naona bora ya mie
Una umri gani kwani maana naona unalazimisha malumbano na kejeri na matusi plus dharau kama inakuuma sana kamwambie tu muhusika isiwe kesi sana nilichokieleza ni kilichonikuta na Nina jaribu kumuepuka huyo mtu lakini badoo naona hauelewi tu,Vaa uhusika wa yule mwanajeshi, chukulia sasa wewe ndiyo yeye alafu mimi nina andika ulivyo andika , hebu nishauri hapa sasa nimfanyaje mkeo?
Mara nyingine muwe mnatumia akili na kichwa, mkuki kwa nguruwe daima huwa ni mtamu ila kwa mwana wa Adam ni mchungu.
Nishauri hapo sasa ..............