The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,582
- 7,242
Habara zenu wana jf
Pasipo kupoteza muda ningependa nilisimulie jaribu linalonikabili japo kwa kifupi kama nitaweza,
Mie ni kijana ambae sijafika miaka 30 Nina kazi yangu ambayo inaniingizia kipato na Nina make, Mungu amejaalia nimefanikiwa kujenga nyumba mbili ndani ya kiwanja kimoja pande za Salasala DSM japo moja bado haijakwisha ,
Sasa hapa jirani yangu kama kuna mwanajeshi amenunua hii nyumba juzi juzi na hii nyumba ilikuwa haijaisha vizuri.
Huyu mwanajeshi amehamia hivyo hivyo na ana watoto wawili wakubwa mie mdogo kidogo kwao mmoja wa kike mkubwa ndio wa kiume driver wa bora bora, mie sikai kule kutokana na majukumu yangu ,
Shida ni Kila ninapokwenda site mwanzo Huyu mama mke wa mwanajeshi alikuwa ananiangalia sana anakuwa kama kapigwa na bumbuwazi imeenda nikawa nikienda peke yangu kama wife hayupo hata nikimsalimia haitikii anachekacheka tu juzi kati nimeenda kaniita kando kidogo akasema ana maongezi na mie private hataki mumewe ajue wala make wangu.
Nikastuka kidogo ila nikamjibu tu Kama hayana ubaya wowote tunaweza kuongea tu hata pale, akaniambie mie sio mtoto na ameniandikia namba yake ila yangu sijampa anesema nimtafute hapa ndio kwenye mashaka,
Na mumewe licha ya kuwa mwanajeshi tu mstaafu lakini anatokea kulee mwisho wa reli ambalo vile vile wanasifa yao ya kudumisha jadi,
Nisaidie wadau nimkwepe vipi Huyu mama mtu mzima!!?
Pasipo kupoteza muda ningependa nilisimulie jaribu linalonikabili japo kwa kifupi kama nitaweza,
Mie ni kijana ambae sijafika miaka 30 Nina kazi yangu ambayo inaniingizia kipato na Nina make, Mungu amejaalia nimefanikiwa kujenga nyumba mbili ndani ya kiwanja kimoja pande za Salasala DSM japo moja bado haijakwisha ,
Sasa hapa jirani yangu kama kuna mwanajeshi amenunua hii nyumba juzi juzi na hii nyumba ilikuwa haijaisha vizuri.
Huyu mwanajeshi amehamia hivyo hivyo na ana watoto wawili wakubwa mie mdogo kidogo kwao mmoja wa kike mkubwa ndio wa kiume driver wa bora bora, mie sikai kule kutokana na majukumu yangu ,
Shida ni Kila ninapokwenda site mwanzo Huyu mama mke wa mwanajeshi alikuwa ananiangalia sana anakuwa kama kapigwa na bumbuwazi imeenda nikawa nikienda peke yangu kama wife hayupo hata nikimsalimia haitikii anachekacheka tu juzi kati nimeenda kaniita kando kidogo akasema ana maongezi na mie private hataki mumewe ajue wala make wangu.
Nikastuka kidogo ila nikamjibu tu Kama hayana ubaya wowote tunaweza kuongea tu hata pale, akaniambie mie sio mtoto na ameniandikia namba yake ila yangu sijampa anesema nimtafute hapa ndio kwenye mashaka,
Na mumewe licha ya kuwa mwanajeshi tu mstaafu lakini anatokea kulee mwisho wa reli ambalo vile vile wanasifa yao ya kudumisha jadi,
Nisaidie wadau nimkwepe vipi Huyu mama mtu mzima!!?
Anajenga HOJA msije mkasema kapenda Pesa,..