Mke wa mtu.

...yap! unachagua tu namna gani umtie mdoezi wako adabu.

kuna jamaa yeye akitaka kukojoa dondola hilo linatoka 'tunduni', mkojo ukianza kuishia na kabla jamaa haujarudisha 'mkwaju' -dondola linarudi tena (ndani) kwa kasi ya ajabu!

au, ukianza kukojoa tu unyuzi nao unatoka, ukimaliza mkojo inabidi uukate unyuzi ulipoishia...

Duu kazi kweli sipendi wake za watu kabisa....ila shida mashori wa siku hizi hukana kama wameolewa...niliisha lamba mmoja nilipogundua ameolewa niliachana naye kabisa na simu zake sipokei.....tunakaa wote Bunju nikikutana naye hata salamu sipokei ....duuu! Jamaa asije nikojolesha dondolaz
 
Duh akome, na wale wezi za wake za watu mkome,yatawakuta zaidi ya hilo!! lol!! BTW huyo anaweza kuwa amepewa sumu (something chronic) imeharibu ini sasa maji yanajaa tumboni au ni kansa ya ini... waende kwa wataalamu zaidi (sio waganga wa kienyeji!!)
 
Waswahili wana msemo wao mmoja, wanasema kuwa... "Mke wa mtu ni sumu"
 
hahaha...watu wameshakuja na kuleta story zao zisizo na vithibitisho vyovyote. Hehehehe....mnanipa raha sana!
 
Hii teknolojia mbona isiwekwe wazi?
Itatuongezea kipato kikubwa kwani nchi za Ulaya watakuja kuiga kwetu sayansi hii ya giza.
 
Huyu jamaa ana matatizo ya kitabibu, pengine figo, maini au uvimbe aka tumuor.

Yaani mtu anakufa hivihivi watu wanasubiri aliyemfanyizia atoe msamaha, jamani lini tutabadili mitazamo na kuacha kutafuta wachawi?

Hakuna cha uchawi, kulogwa wala kufanyiziwa...ni coincidence ya events tu, jamaa ana matatizo ya kitabibu.
 
Huyu jamaa ana matatizo ya kitabibu, pengine figo, maini au uvimbe aka tumuor.

Yaani mtu anakufa hivihivi watu wanasubiri aliyemfanyizia atoe msamaha, jamani lini tutabadili mitazamo na kuacha kutafuta wachawi?

Hakuna cha uchawi, kulogwa wala kufanyiziwa...ni coincidence ya events tu, jamaa ana matatizo ya kitabibu.

Pamoja na kwamba ni kweli ni vibaya sa kutembea na mke wa mtu na ni dhambi kubwa!
Namimi nakubaliana na wewe huyu bwana apelekwe hosipitali akachekiwa afya yake lazima tu litakuwa tatizo la kitabibu, ni kupita tu hosipitali mbalimbali zenye wataalam.
 
Pamoja na kwamba ni kweli ni vibaya sa kutembea na mke wa mtu na ni dhambi kubwa!
Namimi nakubaliana na wewe huyu bwana apelekwe hosipitali akachekiwa afya yake lazima tu litakuwa tatizo la kitabibu, ni kupita tu hosipitali mbalimbali zenye wataalam.

Basi hata wampeleke kwenye maombi basi,,,,du jamaa namwonea huruma ka nini. Haki huyu likimtoka hili vya hali tena!
 
Kuna story sijui Kigoma jamaa alipanda mke wa jamaa akaonywa hakusikia...alikuwa akikojoa dagaaa....sijui kama ni kweli! Binafsi sitaki wala kutamani mke wa mtu...
Unaweaza usimtamani mke wa mtu ,lakini yeye akakutamani wewe.
La maana sema MUNGU APISHE MBALI.
Wake za watu wa miaka hii ni kama wameolewa kwa fasheni tu.
Tunayo yaona maofisini yanaogofya.
 
Duh hii ndio faida ya kula wake za watu..! Kwanini uhatarishe uhai wako wakati wanawake wasioolewa wamejaa lukuki...
 
Huyu jamaa ana matatizo ya kitabibu, pengine figo, maini au uvimbe aka tumuor.

Yaani mtu anakufa hivihivi watu wanasubiri aliyemfanyizia atoe msamaha, jamani lini tutabadili mitazamo na kuacha kutafuta wachawi?

Hakuna cha uchawi, kulogwa wala kufanyiziwa...ni coincidence ya events tu, jamaa ana matatizo ya kitabibu.

definately jamaa anaona chronically ill. Uwezekano mkubwa akawa anasumbuliwa na tatizo kati ya haya:;
1. matatizo ya ini
2. matatizo katika utumbo e.g TB, uvimbe(tumbo) , HIV related Kaposi Sarcoma( aina fulani ya kansa)

kwa kumtazama anaonekana amekonda,(dalili ya kuugua muda mrefu)

bahati mbaya mwandishi wa gazeti naye anashabikia ushirikina, angeweza kuwa wakwanza kuwaelekeza hatua sahihi za kuchukua
 
Mbona nao wachawi tu. Tena imefikia siku hizi wanatangaza mpaka kwenye tovuti na kwenye telly.

...waambie hao! angalia hii; :D

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=8ckh8bRv_IE&feature=fvw"]YouTube - scary video[/ame]​
 
jamaa hajapigwa scud ya asilia wal nini hayo ni maradhi yanayoweza
kukabiliwa hospitali.

huyo jamaa na mkewe wameishia kuogopa fedheha mtaani wala sio kwa vile wamemfanyizia huyo mgonjwa.

kwani mke alilazimishwa? mke ni mtu mzima na mwenye mali akiona mkewe amekolea kwa mtu mwengine bora wayazungumze na mkewe na kukabiliana na kile kilichomfanya mke ajirushe na mtu mwengine. kwani bila kufanya hivyo huyo mwenye mke na mkewe watamaliza kuhama mitaa kwa maana kokote atakakoenda madamu atapata mshikaji.
 
Na kweli yanayofanyika ma-ofisini ya wake na waume za watu kama hujaoa, unaweza kuzeeka huna mke au mme ndani. Ni Hatari!
 
hehehe eti mke wa mtu mtamu muulizeni jamaaa.
Duh mwambie aende Sumbawanga atapata tiba tu.
 
to hell with him. na bado angemuotesha na matiti kabisa huyu. I have this type of people. Shauri yake wala sima cha kushauri hapa
 
Back
Top Bottom