Mke wa Mtu Kapakatwa

Mke wa Mtu Kapakatwa

Huyu mama (kwa mbali huenda akawa dr. nkya wa morogoro) aliye karibu na mwenye twende kilioni kama vile yuko concerned na kinachoendelea kiasi kwamba anamshtua jirani yake ili amweleze mbebaji kwamba anachofanya si sawa. Katika kundi la wendawazimu hakosekani mwenye afadhali siku zote.

Lucy nkya siye!
umetumwa umchafue, mama ameenda age sio kibinti hivyo.
Yuko slowly sio mtu wa chereko.
Si kimbaombao kama huyo. Angalia vizuri mkuu
 
Uyu jamaa aliyembeba ni yule sita aliyemsifia anajua kuquote vifungu vya kuran na biblia, alimpa airtime siku ya mwisho kufunga bunge, af inaonesha huyu ndo alikua dem ake kipind chote cha bunge
 
Lucy nkya siye!
umetumwa umchafue, mama ameenda age sio kibinti hivyo.
Yuko slowly sio mtu wa chereko.
Si kimbaombao kama huyo. Angalia vizuri mkuu

Mkuu Mtwa unaonaje kama ungesoma tena comment yangu? Ukiwa sober bila hang over za Nyerere day utakuja kuniomba radhi. Ndilumba sana Mtwaveee!
 
Mkuu Mtwa unaonaje kama ungesoma tena comment yangu? Ukiwa sober bila hang over za Nyerere day utakuja kuniomba radhi. Ndilumba sana Mtwaveee!

mambo madogo tusameheane. Kama ndo huyo binafsi nakubali
 
sio sijaelewa Lucy nkya nafahamiana nae. Hata kwa mbaliii nakwambia huyu ndiye ama siye

Issue ni kwamba hakuna aliyesema kwamba huyo anayedhaniwa ni Lucy Nkya ndiye aliyepakatwa la hasha ila ndiye anayeonekana kwamba anataka kuokoa jahazi kwa kumuomba jamaa aliye jirani na mpakataji amshushe chini mpakatwaji kwani ni kujidharirisha. Ila wewe umeelewa tofauti mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom