Mke wa Mtu Kapakatwa

Mke wa Mtu Kapakatwa

naona kama kidole gumba kimezamishwa kwa 0713

Huyu mama (kwa mbali huenda akawa dr. nkya wa morogoro) aliye karibu na mwenye twende kilioni kama vile yuko concerned na kinachoendelea kiasi kwamba anamshtua jirani yake ili amweleze mbebaji kwamba anachofanya si sawa. Katika kundi la wendawazimu hakosekani mwenye afadhali siku zote.
 
Hizi hijab na kukumbatiana au kushikana na mwanaume ambae si mumeo zinaleta picha gani?

Vazi la hijab halijatendewa haki hapo
 
itupie humu
Amavubi umesahau hii:

EA-May-06-13-TZ-Parliament-in-session.jpg
 
Last edited by a moderator:
kwani ulifikiri yeye hata kama ni mke wa mtu ndio hana nyege za ghafla!!!?
 
Huyu mama (kwa mbali huenda akawa dr. nkya wa morogoro) aliye karibu na mwenye twende kilioni kama vile yuko concerned na kinachoendelea kiasi kwamba anamshtua jirani yake ili amweleze mbebaji kwamba anachofanya si sawa. Katika kundi la wendawazimu hakosekani mwenye afadhali siku zote.
una jicho kali sana huku wengine wako bize kuchukua kumbukumbu
 
Mkuu Amavubi hapo sasa umemsaidia upelelezi, Mume wa huyo Mjumbe wa BMK kilichobaki ni kuchukua hatua ya talaka.
Yaani kuonyesha kuwa ana zaidi, tunavyomuona kunyanyua juu Mali za Watu, kule Bungeni kuna mafisadi kiwembe wa Wake za Watu.
 
Mkuu Amavubi hapo sasa umemsaidia upelelezi, Mume wa huyo Mjumbe wa BMK kilichobaki ni kuchukua hatua ya talaka.
Yaani kuonyesha kuwa ana zaidi, tunavyomuona kunyanyua juu Mali za Watu, kule Bungeni kuna mafisadi kiwembe wa Wake za Watu.
Mwenye mali atachukua hatua kama tu atakuwa sio mfuasi dhati wa nyinyiemu,chezea kulishwa weweee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom