Mke wa Mtu Kapakatwa

Mke wa Mtu Kapakatwa

Duh! imetulia hiyo. Bila shaka ulikuwa kamchezo kao ka kugegedana. Sasa wamesahau kuwa wapo mjengoni! Si unaona mke wa mtu alivyotulia mikononi mwa mbeba rusherere huku mkono ukipozi mahali alipopazoea kubonyeza! Chezea laki tatu kwa siku wewe! Ndivyo katiba ya CCM ilivyotungwa na kupitishwa Dodoma! Nchi hii bana!
 
Humo ni mjengoni, ni kupakatana kwa sana tuu!, hakuna cha mke wa mtu wala single ladies, wote ni "manzi ganyanza", "mke wa mtu ni wako akiwa kwako!, akiwa nje sii wako!".
Pasco
 
Hahaaaa ukute waifu kubebwa anakionaga kwenye tamthilia tu
Haswaaaa!hata mrejesho wa mwili mmoja unaweza kuta ni mara moja kwa miezi miwili ila huko saiti ni mwendo mdundo na kama ingekuwa penseli angerudi homu imekwisha makali,ndoa hizi lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom