BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
For Promotional Use Only
Ameeeeeeeen
For Promotional Use Only
Jamani kuna Mdada mmoja jirani na ofisi yangu, kiufupi ni bonge la mshkaji wangu na mara nyingi huwa ananiombaga simu yangu akiwasiliana na watu wake. SIMU YANGU HAIKOSAGI EXTREME humpaga n ahuwa siwagi makini kweny ematumizi yake dhidi ya simu yangu.
kumbe yeye akiwa na simu yangu pia hutumia muda huo kuangalia ama kusoma msg zangu, NA MAR ANYINGI HUKUTA MSG NILIZOCHART NA MADEM huwa sifutagi msg mie.
WINGI WA MSG HIZO NI ZA KUSIFIA CARE YANGU KITANDANI, mdada wa watu si akajikuta anapagawa na hizo msg.
SIKU nimekutana naye kwenye akaniomba simu, alipoirudisha nikakuta akairudisha na Maneno demu wako fulani analalamika mbona huendi kumpa tena. NIKACHEKA NA KUCHUKUA SIMU YANGU NA KUSEPA ZANGU.
KUANZIA SIKU HIYO AMEKUWA AKINISUMBUA NA KUOMBA NIKAMPE MAMBO JAPO MARA MOJA, sasa mie naogopa nisije nikaharibu ndoa ya watu maana kiukweli najiamini ukiniweka kitandani na mtoto ni sawa na kumweka mamba ndani ya mto. YAANI NI BALAA, sasa nahofia nisije nikampa dozi y akufa mtu akaanza kuleta dharau kwa mume wake.
MIFANYEJE KUMKWEPA???!!!!!
Mkuu umeona mama mwenzako (bofya). Ndo maana tunaendelea kuwa bikrampe mara moja
Twende PM chapchap sana.
Akimpa atang'ang'ania usimponze mwenzio
Mkuu umeona mama mwenzako (bofya). Ndo maana tunaendelea kuwa bikra
Bikra ya dushe maana najitahidi nikianza nianze na miaka 35 kama katiba ya nchi inavyosema kuwa mtu mzima ni yule zaidi ya miaka 35. Haya ni mambo ya wakubwa sisi miaka 23 lazima tusubiri. Unaweza kubook ila angalia miaka 12 ijayo utakuwa kibibi cha aina gani?sijui huwa unaongeleaa bikra ya wapi jamani wewe naomba nikubikiri?"
nakusubiria mbona haukuji
Ticha yupi????
Nilitaka nione mapigo ya moyo wako. Nakutania.
umeanza janjajanja yako eh?
Ila mzuriiiiiiiiiii