Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Ankooooo...
Nambie ankal. Hii nyagi umeniachia peke yangu?
Ankooooo...
Kesi yetu umeshampata wakili?
Jamani kuna Mdada mmoja jirani na ofisi yangu, kiufupi ni bonge la mshkaji wangu na mara nyingi huwa ananiombaga simu yangu akiwasiliana na watu wake. SIMU YANGU HAIKOSAGI EXTREME humpaga n ahuwa siwagi makini kweny ematumizi yake dhidi ya simu yangu.
kumbe yeye akiwa na simu yangu pia hutumia muda huo kuangalia ama kusoma msg zangu, NA MAR ANYINGI HUKUTA MSG NILIZOCHART NA MADEM huwa sifutagi msg mie.
WINGI WA MSG HIZO NI ZA KUSIFIA CARE YANGU KITANDANI, mdada wa watu si akajikuta anapagawa na hizo msg.
SIKU nimekutana naye kwenye akaniomba simu, alipoirudisha nikakuta akairudisha na Maneno demu wako fulani analalamika mbona huendi kumpa tena. NIKACHEKA NA KUCHUKUA SIMU YANGU NA KUSEPA ZANGU.
KUANZIA SIKU HIYO AMEKUWA AKINISUMBUA NA KUOMBA NIKAMPE MAMBO JAPO MARA MOJA, sasa mie naogopa nisije nikaharibu ndoa ya watu maana kiukweli najiamini ukiniweka kitandani na mtoto ni sawa na kumweka mamba ndani ya mto. YAANI NI BALAA, sasa nahofia nisije nikampa dozi y akufa mtu akaanza kuleta dharau kwa mume wake.
MIFANYEJE KUMKWEPA???!!!!!
Tindu Lissu ndio wakili wangu
For Promotional Use Only
Nakushauri umtafutie msaidizi...
kweli naweza kuchezea risasi za makalio
sasa nifanyaje?
mpe mara moja
What should I do to make it up for you........