Mke wa mtu ananitaka

Mke wa mtu ananitaka

Usimpe ataishia kukudharau ndugu yangu! ana much expectetion huyo juu yako so be careful usije dharaurika!
 
Jamani kuna Mdada mmoja jirani na ofisi yangu, kiufupi ni bonge la mshkaji wangu na mara nyingi huwa ananiombaga simu yangu akiwasiliana na watu wake. SIMU YANGU HAIKOSAGI EXTREME humpaga n ahuwa siwagi makini kweny ematumizi yake dhidi ya simu yangu.

kumbe yeye akiwa na simu yangu pia hutumia muda huo kuangalia ama kusoma msg zangu, NA MAR ANYINGI HUKUTA MSG NILIZOCHART NA MADEM huwa sifutagi msg mie.

WINGI WA MSG HIZO NI ZA KUSIFIA CARE YANGU KITANDANI, mdada wa watu si akajikuta anapagawa na hizo msg.

SIKU nimekutana naye kwenye akaniomba simu, alipoirudisha nikakuta akairudisha na Maneno demu wako fulani analalamika mbona huendi kumpa tena. NIKACHEKA NA KUCHUKUA SIMU YANGU NA KUSEPA ZANGU.

KUANZIA SIKU HIYO AMEKUWA AKINISUMBUA NA KUOMBA NIKAMPE MAMBO JAPO MARA MOJA, sasa mie naogopa nisije nikaharibu ndoa ya watu maana kiukweli najiamini ukiniweka kitandani na mtoto ni sawa na kumweka mamba ndani ya mto. YAANI NI BALAA, sasa nahofia nisije nikampa dozi y akufa mtu akaanza kuleta dharau kwa mume wake.

MIFANYEJE KUMKWEPA???!!!!!

Oyaaaaa...

Mzee wa dozi.
 
We shauri yako na nke ya ntu..utafanywa hamna
 
Hivi ile kesi yako ya kubaka kuku iliishaje? kuna jamaa aliniambia mahakama ilikuachia huru baada ya kuthibitisha kuwa una matatizo ya akili, eti kweli?
 
Asprin mbona umepaniki umehisi atakuwa ticha nini. Uliye tu.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana mleta mada katania,lakini kiukweli wake za watu jamani mmezidi,hivi kuna nini? kwani ni lazima ukipata namba ya njemba utake mgegedano? hapa nilipo kuna vijibinti ndo vimeolewa tu masikini ya Mungu kama vitatu vinataka nivigegede. Mie nahisi kuna kaugonjwa jamani. EPUKANA NAYE HUYO HAFAI.
 
mwambie mme wake mapemaa... amchunge mke wak lasivyo usije ukamkamualia bure.
 
Back
Top Bottom