Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,954
- 95,353
.
Msanii maarufu wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto, amepatwa na msiba mzito baada ya mke wake kufariki dunia mapema leo kufuatia kuugua kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na msanii huyo marehemu alizidiwa ghafla jana na kukimbizwa hospitalini kwa matibabu, lakini jitihada za madaktari hazikuweza kuokoa uhai wake.
Taarifa hiyo ameishia Mrisho Mpoto mwenyewe akiandika 👉"Ngumu kuamini nimefiwa na Mke wangu".
#RIP
Msanii maarufu wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto, amepatwa na msiba mzito baada ya mke wake kufariki dunia mapema leo kufuatia kuugua kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na msanii huyo marehemu alizidiwa ghafla jana na kukimbizwa hospitalini kwa matibabu, lakini jitihada za madaktari hazikuweza kuokoa uhai wake.
Taarifa hiyo ameishia Mrisho Mpoto mwenyewe akiandika 👉"Ngumu kuamini nimefiwa na Mke wangu".
#RIP