TANZIA Mke wa msanii Mrisho Mpoto afariki dunia

TANZIA Mke wa msanii Mrisho Mpoto afariki dunia

.
Msanii maarufu wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto, amepatwa na msiba mzito baada ya mke wake kufariki dunia mapema leo kufuatia kuugua kwa muda mrefu.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na msanii huyo marehemu alizidiwa ghafla jana na kukimbizwa hospitalini kwa matibabu, lakini jitihada za madaktari hazikuweza kuokoa uhai wake.

Taarifa hiyo ameishia Mrisho Mpoto mwenyewe akiandika 👉"Ngumu kuamini nimefiwa na Mke wangu".

#RIP
View attachment 3406814


HAYO MAMBO YENU WANAWAKE TUWAACHIE. MI HAPO HATA SIWAJUI WATAJWA. SEMA NA NINYI MKIWA MNATENGENEZANA NYWELE MKASIMULIANA UMBEA WE UNAKIMBILIA KUPOST JF.
 
HAYO MAMBO YENU WANAWAKE TUWAACHIE. MI HAPO HATA SIWAJUI WATAJWA. SEMA NA NINYI MKIWA MNATENGENEZANA NYWELE MKASIMULIANA UMBEA WE UNAKIMBILIA KUPOST JF.
Jitahidi hata kama huna akili timamu, basi jifunze kusoma hata nyakati.

beside mama ako ali fanya kosa kubwa sana kukuzaa, ange taka abortion ninge toa pesa
 
Back
Top Bottom