chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,298
- 25,712
Asante sana mkuu
uwe tayari kuachana na ukristo/uislam jiandae kisaikologia kwa hilo pia.
Asante sana mkuu
basi huyu xao chui namwacha kuanzia sasa kumbe ntataabiaka eehsijawahi kumuona mke wa mchina akiwa happy hata siku moja.
Chura na konokono ni nyama yenye protein sana mkuuHongera kwa kumpata Jet Lee rapa. Vitu vya kuzingatia:-
-Jifunze karate (unaweza kufika kwao kumbe ana mke itakusaidia)
-Anza mazoezi ya kula kwa kutumia vijiti (hata wali)
-Anza kujizoesha kula vitoweo kama chura na konokono
-Pia usifikirie sana kuwapa watoto wako majina ni rahisi sana zingatia milio ya midondoko ya vitu kama uma, vijiko na sahani za chuma.
-Kila la heri bibie, Ila usisahau kunipa kadi.
Aisee, basi sawa.Chura na konokono ni nyama yenye protein sana mkuu
utajikuta unaishia kucheat tubasi huyu xao chui namwacha kuanzia sasa kumbe ntataabiaka eeh
Unakwenda na dildo zako
Hiyo Gorong'ondo umenikumbusha far kidgoUnaweza kula chura mixer gorong'ondo dada angu
Kumbe ulishatangulia?
Zipo za umeme na za batteries
Duuhhh kazi kweli kweli. Kwani yule "MZEE" uliepelekwa kwake na Mtoto wake kakutolea nje?Mkuu niwe mkweli niko nusu ki-maslahi nusu mapenzi
Wachina ni Asia mkuu si westerns. Mipingo imenipiga sana chini ngoja nikimbilie hukuwee mimi ni mmbaguzi wa rangi sina wala sitamani watu wa magharibi mimi mijitu myeusi ndo yangu hao nawaonna kama kambale tu hata awe na pesa ngapi no never
sina wazo lolote la kuwa na mtu =yeyote i mean kudate na wachina wazungu waarabu sijui wahindi wakalasinga hapana kabisa nawaza kukimbia na pichu mkononi hahahaWachina ni Asia mkuu si westerns. Mipingo imenipiga sana chini ngoja nikimbilie huku
Mpaka mzee kanibwaga mbona kazi
Mpaka mzee kanibwaga mbona kazi