Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,263
- 72,442
Aliyeelewa atani-mention tafadhali
Shida ni ndoa mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ile nanii ya mchina uliyosema ni fupi umeipenda hadi unataka ndoa na mchina??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ile nanii ya mchina uliyosema ni fupi umeipenda hadi unataka ndoa na mchina??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu niwe mkweli niko nusu ki-maslahi nusu mapenzi
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144]Unakwenda na dildo zako
Umeanza kuwa drama queen eeh?Mkuu niwe mkweli niko nusu ki-maslahi nusu mapenzi
» Kuna yule alitaka wahamie South Sudan, sijui waliishia wapi.Umeanza kuwa drama queen eeh?
Huyu mchina ni mwanaume wa kumi sasa unamwanika JF, achana na akina udongo.
Hivi Mbinguni utakuwa mke wa nani?
Mkuu niwe mkweli niko nusu ki-maslahi nusu mapenzi
Zikianzishwa nyuzi za wasichana wanaochelewa kuolewa wanakuwa na msongo wa mawazo, posters wanaitwa ni sexists.» Kuna yule alitaka wahamie South Sudan, sijui waliishia wapi.
» Kuna yule aliomzidi miaka lukuki, ana umri wa kaka yake wa kwanza, sijui walifika wapi.
» Yupo yule alikuja kumpenda dingi badala ya jamaa, daaah
» Kuna mlokole, nae sijui Bwana hakutaka.
» Mchina mwenye mbilimbi ndio ana-trend kwa sasa.
Kweli huyu ni drama queen, au the clock is ticking really fast.
By the way, #Naweka-kumbukumbu-za-kijinga-sana.
Achana na wachina, fanya mambo mengineHabari za Leo wapendwa,
Nimekutana na wake wa wazungu wanaishi Tanzania wangine ughaibuni. Maisha kama mke wa mchina huko kwao yakoje kwa waliofika nchi hiyo.
Ninaomba ushauri wakuu maana hii inaweza kuwa fursa ya kunitoa Kwamtogole.