flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,442
Mmh wabongo tunapenda sana mapenzi aiseee,mimi naonaga wapo busy na maisha sana. mda wote wanawaza kutengeneza pesa.
mapenzi utayapata saa ngapi?
Mmh wabongo tunapenda sana mapenzi aiseee,mimi naonaga wapo busy na maisha sana. mda wote wanawaza kutengeneza pesa.
mapenzi utayapata saa ngapi?
Watamu sana mkuu. Yaani ni watamu balaa sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha hapo eti wananiona na dushe kubwa wakati bongo wsnaona na kibamia.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Vipi kuhusu utunduuu??? Utamu je???
Ananifundisha karate na kungfu, u-kibonge unakwisha.Usitegemee mizinga wala kupewa pesa. Wewe jiandae kubebewa mikoba tu huku wewe ukichat na simu barabarani. Hata mgongoni atakubeba ila sasa wewe kibonge unaeza mvunja mgongo. Halafu pia tegemea kulala na mumeo anaweza asioge kama kamwezi hivi au toka dongji hadi chunjia.....halafu usimsumbue sumbue kupalilia magugu nyasi kwenye kimpingo chake maana wakati mwingine magugu yanaweza yakafunika kimpingo kilivyo kidogo. Pia kwenye mavituzi jiandae kusikia milio ya dog dog snake snake bundi bundi hivi. Ni hayo tu kwa sasa.
Halafu hujasema rangi yako kama ni una weusi kama wa kwa kina salva kiir wenyewe mnauita black butyi ama chocolate color wenyewe mnaita maji ya kunde au weupe mbabuo n.k.....sema ndio tukupe uchambuzi mzuri. Na je nywele unasuka twende kilioni, mabutu, Rasta au unawekaga yale maywele yaoAnanifundisha karate na kungfu, u-kibonge unakwisha.
Nywele ni kama Lupita rangi kidogo nimetoka kwa jongoo lakini sijafika maji ya kundeHalafu hujasema rangi yako kama ni una weusi kama wa kwa kina salva kiir wenyewe mnauita black butyi ama chocolate color wenyewe mnaita maji ya kunde au weupe mbabuo n.k.....sema ndio tukupe uchambuzi mzuri. Na je nywele unasuka twende kilioni, mabutu, Rasta au unawekaga yale maywele yao
ule mchakato vipi ujue nakutegemea.......Mkuu wa bongo mnachagua sana ngoja niende Beijing
ok, nilihofia beijing inaweza usahaulishaNa mimi sijasahau mkuu
Teh hya bhanaaWatamu sana mkuu. Yaani ni watamu balaa sana.
Hahahahahaaa....mtani nawe nkakwea eeh? LolMkuu, mpaka uolewe hakuna rangi tutaacha kusoma. Ila sasa ile mbilimbi yake...mmmh, si umeshazoea "dickson mweusi"??
Hahaha, mtani upo? Unapotea sana!!!Hahahahahaaa....mtani nawe nkakwea eeh? Lol
hahahaha msema kweli ni mpenz wa Mungu...Mkuu niwe mkweli niko nusu ki-maslahi nusu mapenzi
Hatimaye swahiba wangu umekamatika.... LooooMkuu niwe mkweli niko nusu ki-maslahi nusu mapenzi
Swahiba number yangu usiifute inawezekana tukahitajiana siku za usoni.Hatimaye swahiba wangu umekamatika.... Loooo
Kwahiyo uko tayari kusacrifice mapenzi kwa gharama ya maslahi, au utakuwa unacheat na kina sisi ambao kuwatafunia ngozi nyeupe ndio kipaumbele chetu?
Hilo wala hata sikuhitaji ushauri wako. Haifutwi asilaniSwahiba number yangu usiifute inawezekana tukahitajiana siku za usoni.