Mke ni nani? Rafiki au ndugu?

Mke ni nani? Rafiki au ndugu?

kwani ndugu maana yake ni nini?ukija ktk harusi na mkeo au mumeo kisha mimi mc nikasema naomba ndugu zake na bwana harusi waje kucheza mkeo au mumeo hatakuja?

tupate tafsiri sahihi ya ndugu!
 
Kwa tafsiri yangu,ndugu ni watu wa jamaa moja waliounganishwa na mahusiano ya damu!

kunapokuwapo na maungano ya damu yaani mtoto ndipo mnapokuwa ndugu
 
eti wakuu nisaidieni mke wako ni ndugu yako au rafiki yako? na sababu ni zipi?
 
Nadhani ni urafiki uliorasimishwa, mtoto ndio ndugu yako.
 
Huyo si ndugu yako wala rafiki yako kama huami kuna siku utaamini tu mwana
 
eti wakuu nisaidieni mke wako ni ndugu yako au rafiki yako? na sababu ni zipi?

Nilipooa niliambiwa tumeungana na kuwa mwili mmoja, sasa huo undugu au ujirani unatoka wapi? Mke ni zaidi ya ndugu mkuu, watoto pia si ndugu zako ni tunda la huo umoja, uzao wako/wanao. Soma vitabu vitakatifu.
 
Nilipooa niliambiwa tumeungana na kuwa mwili mmoja, sasa huo undugu au ujirani unatoka wapi? Mke ni zaidi ya ndugu mkuu, watoto pia si ndugu zako ni tunda la huo umoja, uzao wako/wanao. Soma vitabu vitakatifu.

Yeees,, i bet on u bro... ni sehemu ya mwili wako.....
 
Sio ndugu na wala sio rafiki, ni mwenzi wa maisha.
 
Undugu & Urafiki incase problem occured hauna sifa ya kuufuta kwa divorce!
So far Mke anabaki kua Mke tu!
No means ya kukokotoa jina m'badala lisilokokotoka.
 
Mke ni rafiki tu ndio maana mwaweza achana na akaolewa na ukaoa
 
Ni rafiki wa kike tu ambaye hana hata DNA yako, uliyeamua kumbinafsisha moja kwa moja ili akuzalie watoto na shughuli 'zingine'. Watoto ndio wenye DNA kama zako!

Sasa upuuzi Nivea anaousema ni upi hapo juu?

Tuheshimiane!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom