Mke ni nani? Rafiki au ndugu?

Mke ni nani? Rafiki au ndugu?

hiyo ni sawa na kuuliza kuwa mlango ni ukuta au dirisha?

Mpendwa, mke ni mke, mume ni mume, ndugu ni ndugu na rafiki ni rafiki! Mpendwa, mke na mume ni "ndugu/rafiki makers" kupitia uzao wao na kamwe hawawezi kuwa ndugu au rafiki. Kuwaita ndugu au tafiki ni sawa na kuwa-degrade

glory to god
je suis malade pour ça.
 
Mke anaaweza kuwamajibu sahihi ya Ndugu/Rafiki
pia anaweza kutokuwa majibu sahihi ya ndugu/rafiki
Kama haujaoa omba sana Mungu akupe mke mwema
na kama umeoa omba sana neema ya Mungu na
Barka ktk ndoa yako. Ndoa ndio maana halisi ya
upendo.
 
Kama mnahisi mke ni adui,shetani,mchawi am not concuring with you. Mke inategemea unamchukuliaje ili hayo mambo ma3 hapo juu yasitokee. Nafikiri mke ni zaidi ya ndugu na rafiki. Pendeni wake zenu wandugu na mtaona matokeo yake,msimfuate Bujibuji,huyu jamaa hajaoa na kama kaoa anaweza kuwa kaokota kwenye mduara. Heshimuni wake zenu.
 
hiyo ni sawa na kuuliza kuwa mlango ni ukuta au dirisha?<br />
<br />
mpendwa, mke ni mke, mume ni mume, ndugu ni ndugu na rafiki ni rafiki! mpendwa, mke na mume ni &quot;ndugu/rafiki makers&quot; kupitia uzao wao na kamwe hawawezi kuwa ndugu au rafiki. kuwaita ndugu au tafiki ni sawa na kuwa-degrade<br />
<br />
glory to God
<br />
<br />
Majibu yako ni kama yametoka mbinguni, binti una hekima ya hali ya juu sana, natamani sana kumfahamu mwenzi wa moyo wako
 
Kama mnahisi mke ni adui,shetani,mchawi am not concuring with you. Mke inategemea unamchukuliaje ili hayo mambo ma3 hapo juu yasitokee. Nafikiri mke ni zaidi ya ndugu na rafiki. Pendeni wake zenu wandugu na mtaona matokeo yake,msimfuate Bujibuji,huyu jamaa hajaoa na kama kaoa anaweza kuwa kaokota kwenye mduara. Heshimuni wake zenu.
<br />
<br />
weee hebu acha kabisa kumsema Bujibuji maana yeye ndiye mtu pekee awezaye kuyasoma mawazo yako na fikra zako.
 
Kama mnahisi mke ni adui,shetani,mchawi am not concuring with you. Mke inategemea unamchukuliaje ili hayo mambo ma3 hapo juu yasitokee. Nafikiri mke ni zaidi ya ndugu na rafiki. Pendeni wake zenu wandugu na mtaona matokeo yake,msimfuate Bujibuji,huyu jamaa hajaoa na kama kaoa anaweza kuwa kaokota kwenye mduara. Heshimuni wake zenu.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
pinochet, hebu acha kabisa kumsimanga Bujibuji kwani yeye pekee ndiye binamu awezaye kuyasoma mawazo yako na fikra zako.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
weee hebu acha kabisa kumsema Bujibuji maana yeye ndiye mtu pekee awezaye kuyasoma mawazo yako na fikra zako.
<br />BUJIBUJI HUNA LOLOTE,KAMA UMEMRITHI SHEIKH YAHAYA POA. HUNA MKE WEWE ACHA KUDANGANYA WALIONDANI YA NDOA.
<br />
 
Hivi unaweza kununua undugu. Mke ni rafiki hana dhaman ya ndugu. Mf. Watu wanasema huyu tumeshbana kama ndugu, hao ni marafik. Mke ni rafiki.
 
Majibu yako ni kama yametoka mbinguni, binti una hekima ya hali ya juu sana, natamani sana kumfahamu mwenzi wa moyo wako

looh, maneno mazito sana haya mpendwa!

asante sana kwa kunisoma.

ufafanuzi zaidi kwa wale ambao hawakunielelwa:

mke na mume ndio "wanaotengeneza" ndugu na marafiki kote duniani kwa kuwazaa na kuwatunza kwa malezi, kuwafunza nidhamu na stadi mbalimbali za maisha, kuwapatia mahitaji yao ya aina mbalimbali nk. muungano wa mke na mume ndio muungano pekee uliopewa haki na Mungu muumba mbingu na dunia, ya kuzaa hapa duniani. miongoni mwa wazao wao, wengine watakuwa marafiki na wengine watakuwa ndugu. kwa hiyo, mke na mume huzaa marafiki na ndugu na kwa msingi huo ni rafiki/ndugu makers! hivyo basi, hadhi ya urafiki au undugu ni chini ya hadhi wanayostahili. their status is superior to both!

ubarikiwe sana mpendwa Bujibuji

weekend njema!
 
Duh kuna watu wamepindaaa ... Kama sio kujichoka lol..



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom