Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Mbavu katika mbavu zake, mifupa katika mifupa yake sio!!!!!Mke ni mwili wako.. Mpende kama unavyoupenda mwili wako. C ndugu wala c rafiki..
Mbavu katika mbavu zake, mifupa katika mifupa yake sio!!!!!Mke ni mwili wako.. Mpende kama unavyoupenda mwili wako. C ndugu wala c rafiki..
Mbavu katika mbavu zake, mifupa katika mifupa yake sio!!!!!
mke ni chombo cha starehe wala si rafiki yako au ngugu yako kwa sababu anauwezo wa kukuuza wakati wowote
Mke rafiki,ukimchukulia kama ndugu utaleta mazoea na upendo utapungua.unatakiwa umchukulie kama grlfriend tena kama vile ndo mnaanza mapenzi,yaani full maluvy davy
Shindwa!mke ni pepo mchafu
I like this i wish wanaume wote wangetambua hiliMke ni mwili wako.. Mpende kama unavyoupenda mwili wako. C ndugu wala c rafiki..
Mazezeta ndio huwa wanalitambuwa hilo.I like this i wish wanaume wote wangetambua hili
sasa unataka uhakika gani tena? umeshawahi kuona wanaume wanacheza strip show?una uhakika?
Watu waliotawalia na ugonjwa wa mapenzi utawagunduwa tu kwa post zao. undugu kwa mwanamke unatoka wapi? haya ni mawazo ya kizembe kabisa, na nyinyi ndio mnaandikishaga majina ya wanawake zenu kwenye property zenu halafu baadae mnatoswa mnaanza kulialia kama majuha. mwanamke sio ndugu yako na haitakaa itokee mwanamke awe ndugu yako. mwanamke ni msaidizi wako na kiburudisho chako tu not otherwise.Ni zaidi ya ndugu au rafiki, ni nusu yako, nusu ya mwili wako , nusu ya moyo wako na ni nusu ya roho yako.
<br />nauliza hili swali ili nipate kuelewa.
ata ww pia ni monster kwan wote mnategemeanaShe is just a monster inbetween the two!!!!!!!