gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Na ungepata mume ambaye
'ana heshima sana chumbani kwa mkewe' unngefanyaje labda?
huyu angebadilika tu manake kwanza mie mshipa wa aibu ilisha katika na kupotea na heshima kwangu haijawah kupotea njia ikaja kwangu wakat wa tendo la ndoa na nashukuru sana manake nisingeifungulia mlango hata kidogo. uzuri wanaume wengi hupenda wanawake wachangamfu zaid chumban kuliko yule mwoga.