The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
- Thread starter
- #221
Hapo naomba nikubishie...vile vibibi vyetu vya zamani vilikuwa kama vichawi....hata ukimtiwa switch kidogo na kumwacha vilikuwa vinajua tu,..sembuse umtwange full dozi??
Kama nyumba zenyewe ziko hivyo ni sawa ila wengine tumezoea kutumia nyumba moja familia nzima na hakuna ceiling!!
Babu DC!!
Vibabu vingine asubuhi tu vinatazama macho na kusoma kila kitu lol