Khaaa!
The Boss gafla topic imegeuka, from mke kuwa kiburudisho hadi kuwa whether its okay kudo na wife ukweni...maana nimesoma pages zooote
Nilichogundua, bado saana watu tumeingia kwenye ndoa na tabooos nyingi mno. Sio kosa letu,Ni utamaduni na mapokeo
msingi wa hoja ya
The Boss nauona katika changamoto ya kunadili hayo mapokeo na tamaduni zetu, ili kuweze kucompete na pengine ku cope na tamaduni za kisasa
Kwa maoni yangu nadhani kati ya mke na mume, inatakiwa wote kuwa hamuogopani au kuoneana aibu kwenye suala la sex, hasa nikinukuu alichosema mwalimu wangu
snowhite na my sweetlo
gfsonwin.
Kama mazingira yanarushusu....lap dance, striping, mduara, pekecha pekecha,,,,zote ruksa...ili mradi kuspice things up.....club za siku hizi mfano wana strippers na mi na mpenzi wangu hatuoni shida kwenda kuchungulia kidogo na kujipa raha mara turudipo.
sasa what is acceptable kwa couple hii,inaweza isiwe aceptable kwa couple nyingine, "we vary because we differ", naomba nilitambue hilo, na kwa maana hiyo nitambue pia michango ya wale wa 'mrengo wa kushoto' kina
nyumba kubwa, babu mwenzangu
Dark City,
Kaunga,
sweetlady, na wengineo, huku nikishukuru kwa maoni ya
SnowBall, gfsonwin (my sweetlo na mdogo wake
AshaDii kindoa....sasa msiulize kama tunafanyaga threesome au la),
lara 1, na wengineo.