Mke muhaya hapana

Mke muhaya hapana

Status
Not open for further replies.
wahaya mnatuchafulia lugha yetu bwana!

kwenye 'a' mnaweka 'ha' na kwenye 'ha' mnaweka 'a'!

lol.. nimeishi bukoba kwa miaka miwili nikiwa High school, nimeishi vizuri sana na akina KOKUTONA! they are beautiful, charming, caring, hawana maringo kwa wageni...!

Ukitongoza huzungushwi, kila weekend tuko beach tu!

maisha yenyewe mepeeeesi, umeme haukatiki wala nini!

dah! thank you bukoba! life is very simple there..!

pondeni huku mkisifia na vingine..!

Ahsante rafiki kwa kueleza true face of us. Ila hiyo ya kutongozwa usizungushweee mmmh, nadhani ni tabia ya mtu binafsi, not tribe.
By the way, nimekumiss sana
 
Wahenga walisema "jasiri haachi asili" nimeishi sehemu mbalimbali nikichangamana na makabila tofauti wanawake wa kihaya ni wachafu kwa tabia na hawafai kuolewa hawa watu hawaheshimu ndoa kabisa ni wachepukaji waliokubuhu na hii tabia sijui wanaambukizana tena ukute kaolewa na kabila lingine ndo atachepuka mpaka basi.

mama yako asingelichepuka usingelizaliwa
 
Hujambo Kokutona. habari za kwetu. Sijapenda post ya huyu jamaa kutukana makabila ya watu by sweeping statements.
Karibu Kwetu. Have a nice weekend
Sijambo wa kwetu, mpotezee tu, binadamu ndivyo tulivyo....karibu kwetu pia.
 
Katoto kadogo lakini kanawanaume kibao,,kama kale ka imelda,,,ni noma,,,,ili kabila limezidi kwa michepuko,,,

MASIORA;
Acheni kukufuru nyie. Hao wanawake wa Kihaya wamewakosea nini?? Jamani, hakuna wanawake wenye moyo mzuri kama hao. Nimetembea na makabila mengi sana lakini Muhaya. Aboo baleke tata. Ni wazuri, wapole na hawana matata.
Kuchepuka ni kwa kila mtu. Awe mke awe mume. Tulizana tu usijekuta huyo unayemsifia ni mjanja kuliko weye. Amesha ku monitor, anajua kila hatua zako hivyo unamkuta katulia home kumbe weye ni wa pili siku hiyo.
Mwanamke akikosa hishima ni mnyama tu. Tafuta mcha Mungu, utapona:hail::hail:
 
endelea kuwatafuta wanawake kwenye madanguro uone kama utapata alietulia hata wa kabila lako..... hakuna uhusiano wa tabia ya mtu na kabila lake... watake radhi wahaya... umewakosea sana..
 
Akuuu...!!
Naogopa nsije tolewa nduki na wenyewe, kwahiyo babu unamaanisha ktk pitapita zako hujawai kutana na hiyo "mimaji"

Shiiiiiiiiiii........ ngoja watoto walale........:llama:
 
Excel you've spoken it audibly, watoto wa kihaya hua sio wasumbufu kabisa, wapole, wakarimu, hivi unakumbuka mafigure yao ya kibantuu, too good to mention...
Hawana blah blah wakiwa kwao (bkb) , tatizo lao kubwa ni majiii... afu mkuu hujakutana na neno #mnyamahanga
dah! mkuu, nawashangaa sana wanaowabugudhi wabebez wa kihaya! wahaya wanajaua kupenda bwana! mi nili-experience upendo love yao! hawana hiana kabisa kwa watu wasio kabila lao surely nakwambia!

Mi nimeondoka Bkb mwaka 2012, lakini mpaka leo natafutwa! those girls loves meen! cheating to them is not easy!

Hawa wanyamwanga niliwaskia mkuu japo sikuwahi kuwafanyia practical risech, naskia na wao wako vizuri sana!
 
Ahsante rafiki kwa kueleza true face of us. Ila hiyo ya kutongozwa usizungushweee mmmh, nadhani ni tabia ya mtu binafsi, not tribe.
By the way, nimekumiss sana

Miss you too koku... siku hizi umekuwa not reachable! kwann lakn mkazi?
 
Hahahahaah kwamba sijawahi kwenda gulioni Katerero? Na umri huu???

Haaaa (meachama, mkono mdomoni)
Babu hufai, hiyo michezo kwa umri wako nakushauri uache. Usijefia kwenye viuno vya watu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom