Mke muhaya hapana

Mke muhaya hapana

Status
Not open for further replies.
Haaaa (meachama, mkono mdomoni)
Babu hufai, hiyo michezo kwa umri wako nakushauri uache. Usijefia kwenye viuno vya watu.

Hahahahahaha sasa kama wanataka wenyewe mi nifanyeje? Afu tangu lini ng'ombe akazeeka maini???
 
Kuna mbwira kakusema vibaya roho yangu ikaniuma..... Hujambo laaziz? Mtaa wa pili sikuoni kabisa au umeishiwa?
Muache ....just relax.....tutabakua kuwa wahaya tu hata wasemeje we are proud of.
Mtaa wa pili wajanja wamekwapua ..nakuja pm tuongee viruri kuhusu uwezeshaji na uwekezaji, najua umesha miss mambo flani flani, eti?
 
Muache ....just relax.....tutabakua kuwa wahaya tu hata wasemeje we are proud of.
Mtaa wa pili wajanja wamekwapua ..nakuja pm tuongee viruri kuhusu uwezeshaji na uwekezaji, najua umesha miss mambo flani flani, eti?
Hapo kwa red..... we ni mjukuu wa Sheikh Yahya?? Fanya fasta, nahisi pafomensi yangu kama haiongezeki...... si unajua mazoezi muhimu kabla ya mechi?
 
uwezo wako wakufikri ni mdogo sana,kwani wanawake wote wanachepuka ni wahaya.acha uzembe wa kufikri.
 
Hapo kwa red..... we ni mjukuu wa Sheikh Yahya?? Fanya fasta, nahisi pafomensi yangu kama haiongezeki...... si unajua mazoezi muhimu kabla ya mechi?
Ha ha ha haa my cup cake nilijua tu laziima utakuwa umemiss....twende tukajadili jinsi ya kufanya. Maana na uzee huo pafomansi ikuishuka itakuaje....
 
Wahenga walisema "jasiri haachi asili" nimeishi sehemu mbalimbali nikichangamana na makabila tofauti wanawake wa kihaya ni wachafu kwa tabia na hawafai kuolewa hawa watu hawaheshimu ndoa kabisa ni wachepukaji waliokubuhu na hii tabia sijui wanaambukizana tena ukute kaolewa na kabila lingine ndo atachepuka mpaka basi.

Twambie ni Kabila gani lisafi. Alafu wewe huna hadhi ya kuoa mwanamke wa Kihaya, maama mtu mshamba mshamba kama wewe huwezi kumtunza mtoto wa kihaya.
 
Ha ha ha haa my cup cake nilijua tu laziima utakuwa umemiss....twende tukajadili jinsi ya kufanya. Maana na uzee huo pafomansi ikuishuka itakuaje....

Hapo chacha........ na wewe ulivo bado mbichi, wakware si wataniibia mchana kweupe? Ole wako uwakatie yale mauno yako, ntakugeuza kitoweo wallah....
 
Hahahahahaha sasa kama wanataka wenyewe mi nifanyeje? Afu tangu lini ng'ombe akazeeka maini???


Leo babu kawahi kulewa, inabidi nichukue hii advantage kuzoa ujuzi...
Waiter!!! Ongeza bapa 2 faster.
 
Hapo chacha........ na wewe ulivo bado mbichi, wakware si wataniibia mchana kweupe? Ole wako uwakatie yale mauno yako, ntakugeuza kitoweo wallah....

Mambo ya chumbani hayo usiyaseme huku...watajua unafaidi afu wataaanza fujo
 
Leo babu kawahi kulewa, inabidi nichukue hii advantage kuzoa ujuzi...
Waiter!!! Ongeza bapa 2 faster.

Yani umenifanya nifungashe virago...... mkoloni namuachia kiporo ntakimalizia kesho. Sylivia, andaa gines tano za baridiiiii, ODM nakuja.
 
Wahenga walisema "jasiri haachi asili" nimeishi sehemu mbalimbali nikichangamana na makabila tofauti wanawake wa kihaya ni wachafu kwa tabia na hawafai kuolewa hawa watu hawaheshimu ndoa kabisa ni wachepukaji waliokubuhu na hii tabia sijui wanaambukizana tena ukute kaolewa na kabila lingine ndo atachepuka mpaka basi.

Tatizo la kufikiri kwa kutumia tumbo ndilo hili!
 
Wahenga walisema "jasiri haachi asili" nimeishi sehemu mbalimbali nikichangamana na makabila tofauti wanawake wa kihaya ni wachafu kwa tabia na hawafai kuolewa hawa watu hawaheshimu ndoa kabisa ni wachepukaji waliokubuhu na hii tabia sijui wanaambukizana tena ukute kaolewa na kabila lingine ndo atachepuka mpaka basi.

videm vya kihaya vimenithaidia thana nilipokuwa chuo,thio vichoyo kiukweli ila maji..ukicheza unayanywa hasa muda wa katerero!
 
Wahaya wachafu wa tabia kabisa... Kuna jiran yangu hapa.. Mke wake muhaya na alimtambulisha kijana mmoja kwa mume wake kua ni ndugu yake kijijini na mumewe aliweza kuamini kutokana na mazoea ya yule kijana na familia yake... Kumbe kijana alikua anakula mzigo aiseeee.. Kijana pia ni muhaya.. Wahaya hawafaiiii
 
ni wanawake warembo na wana mvuto kuliko wote tz kutokana na rangi yao,utawapenda.isitoshe malaya ni mtu yoyote wala si kabila fulani
 
Sasa kuna ndugu yangu kaoa Mhaya na uwa anapita pita humu JF akisoma quote za humu mtamchanganya sana... japo naye ana uzoefu nao...

Iwe nikugambire... Waguma.... ahhh Mpao...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom