JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,456
Rushayna amesema alianza kufanya kazi na Manara kwa muda mrefu na anamjua vizuri hana pesa yoyote tofauti na watu wanavyomfikiria.
Chanzo: EATV
Basi sawa
Ova
Teh teh eti PA wangu watu mjini wana mikogo...Halafu wala hakua msaidizi wake wala nini,
Tena kwa Tz hii, hiyo ni pesa ndefu sana,Manara pesa anayo ,mshahara milioni 11 ,bado matangazo ambayo anapata zaidi ya milioni 5 kwa mwezi ,mtu mwenye kipato cha zaidi ya 16m kwa mweiz hauwezi kusema kwamba hana pesa.
😂 😂 😂Badae atasema tuu ukweli , japo kaamua kumtelekeza mwanetu Yogo , kumiliki pisi Kali alaf Una shekeli za kuunga unga lazima ukimbiwe tuu
najiuliza mwanamke anampenda kwa dhati mwenye ulemavu wa ngozi na stigma iliyo vichwani mwa watz juu ya ulemavu huu.....kama ni kweli amempenda kwa dhati si kufuata pesa, huyu mama mbinguni atapata makazi murua sanaHao ndio wanawake, kwenye hela wanakuwaga na true love.
Mwanaume kujitoa kwa single maza kihasi hicho ni ujinga uliopitiliza.Naskia uyo MKE mdg Ni single mother,
Vipi wajuvi kina mzabzab hebu twambieni,
manara nae alioneshwa kaburi la baba wa mtoto?
Manara ana akili sana. Matumizi ya hela ndio haya...kula mbususu za pisi kaliMke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote.
Rushayna amesema alianza kufanya kazi na Manara kwa muda mrefu na anamjua vizuri hana pesa yoyote tofauti na watu wanavyomfikiria.
Chanzo: EATV
😂anamjua vizuri hana pesa yoyote
HV wazazinwake kweli nao wanna akili sawasawa unaendaje kumposa mtot kwa manara mtu ndoa tano zote zimemshindaMke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote.
Rushayna amesema alianza kufanya kazi na Manara kwa muda mrefu na anamjua vizuri hana pesa yoyote tofauti na watu wanavyomfikiria.
Chanzo: EATV