Mke mpya wa Manara avunja ukimya, "Sijafata Pesa"

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,456
Fd1eZdAWAAQ-_ln.jpg
Mke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote.

Rushayna amesema alianza kufanya kazi na Manara kwa muda mrefu na anamjua vizuri hana pesa yoyote tofauti na watu wanavyomfikiria.


Chanzo: EATV
 
Mke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote.

Rushayna amesema alianza kufanya kazi na Manara kwa muda mrefu na anamjua vizuri hana pesa yoyote tofauti na watu wanavyomfikiria.


Chanzo: EATV
Manara ana akili sana. Matumizi ya hela ndio haya...kula mbususu za pisi kali
 
Mke mpya wa Haji Manara Rushaynah Bugati amevunja ukimya kwa wanaomshambulia kudai kwamba amefuata pesa kwa Manara jambo ambalo amelikana na halina ukweli wowote.

Rushayna amesema alianza kufanya kazi na Manara kwa muda mrefu na anamjua vizuri hana pesa yoyote tofauti na watu wanavyomfikiria.


Chanzo: EATV
HV wazazinwake kweli nao wanna akili sawasawa unaendaje kumposa mtot kwa manara mtu ndoa tano zote zimemshinda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom