Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari
Mtu ni afya,huwezi kujamba mbele ya mtu/watu,unashauriwa ukiskia kijambo, nyanyuka kajambie mbali kuepusha kero kwa aliekaribu na ww,sababu pale hutoi harufu ya vannila ujue,tena kwa mpenzi ndio kabisa mi sijawai!
Basi kwa sababu mke wako anajamba jamba sana unataka kutugilibu tukusaidie kuhalalisha huo ujinga. mambo ya kuchafuliana hewa, wapi na wapi?
nakwambia ntakomaje sasa!poa tu si ndio spice up zenyewe hzoooo!Hahaha. Umeona eeee
Kila siku rudi rudi rudi
Jiandae sasa
....Lovemeter....
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari
Hii mbona iko poa tu...kujambiana kwa wapendanao it's just okay..
If they can perform the other nasty things together , then, what's the hell with farting?
I don't see whether its a big deal..........
Yani ni kitu cha kawaida sana , tena hao ambao wanasema hawajawahi kujamba mbele ya wapenzi wao mimi naona hawajawauliza vizuri wenzi wao , maana hata wakati wanafanya mapenzi wanajambiana sanaaaa , hasa wanaume akikaribia tu na ushuzi uko njiani.
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari