Prisoner 46664
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 1,948
- 1,238
sas wakwe na bosi wangu ni mpenzi wangu!
af we ujue nimekumiss we potea potea tu!
..lol..mambo ni aje snowhite??!..ujenziwa nchi beste yangu..miss u 2..
Last edited by a moderator:
sas wakwe na bosi wangu ni mpenzi wangu!
af we ujue nimekumiss we potea potea tu!
Kujamba muhimu. Mi na
mwenzangu huwaga tupo free kunjamba (hasa tukiwa pekeetu chumban).
Nakumbuka mara nyingi waifu akijamba bhuuu, namtania mbona unajamba
unatoa bhuuu bezi kama mwanaume, jaribu kutoa pwiiiii yenye mlengo wa ki
female then we end up kucheka.
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari
Mhhhhhh i hope you are not serious kwa mwanamke tena si ndio balaaaaa?Mwanaume kujamba ni 'accident'
mwanamke kujamba ni 'sexy'
teh,tehJana kuna ofisi mate wangu hapa ofisini near to me, shori mzuri sana. Alijibana kikachomoka da nikajifanya sijasikia. Kanipiga jicho nikampotezea. Sasa nimegundua mybe ananitaka kwa hiyo anaonyesha mapenzi.
Ngoja na mimi leo nijikusanye ili nijibu mapigo, nitauwachia.
Sasa kama tunakaa muda karibia wote pamoja mie nikasunsudue wapi? Unaongelea mahusiano ya kubip wewe. Kama mpenzio akila kande anakuwa wmd basi si umletee firigisi, eboo? Sasa mnaweza kutumia toilet pamoja?