Mke/Mpenzi asiyejamba.....

Mke/Mpenzi asiyejamba.....

Ha ha ha haya bwana,nilichokipata hapa nikucheka tu,ila tafiti zako unazinguwa,we unafikir kujamba jamba ovyo kwa mwenza ni heshima,kwanza kama ni mwanaume unajamb jamba ovyo inaashiria unatumika nyuma na wanaume wenzako,
 
Ha ha ha haya bwana,nilichokipata hapa nikucheka tu,ila tafiti zako unazinguwa,we unafikir kujamba jamba ovyo kwa mwenza ni heshima,kwanza kama ni mwanaume unajamb jamba ovyo inaashiria unatumika nyuma na wanaume wenzako,
 
Ha ha ha haya bwana,nilichokipata hapa nikucheka tu,ila tafiti zako unazinguwa,we unafikir kujamba jamba ovyo kwa mwenza ni heshima,kwanza kama ni mwanaume unajamb jamba ovyo inaashiria unatumika nyuma na wanaume wenzako,
ha ha ha
 
aisee hii mada imenifurahisha sn yan nijambe mbele ya mpnz wangu au ye ajambe mbele yangu du aibu sn jaman.
 
Hii mbona iko poa tu...kujambiana kwa wapendanao it's just okay..
If they can perform the other nasty things together , then, what's the hell with farting?
I don't see whether its a big deal..........

snowball! What are these other nasty things?
 
kwani Kebbys kulikuwa na nini kiongozi?sikuwa na taarifa yoyote!

Mc unaishi dunia gani? Wana Jf wote walijumuika pamoja huko kwenye white party, angalia jukwaa la chit chat... Mtambuzi huyu kijana wa kitanga mbona hamkumpa mwaliko!!
 
Last edited by a moderator:
Kweliiii we in bofloooooo yaani unakiwaza kijambio tu duh ...................!
 
Tunatofautiana kweli humu. Mi ukitaka nikuchukie jamba mbele zangu. Umekuwa kama Wahindi ambao hawana break? Wanajamba kila mahali wakipita na pilipili wanayokula usiombe! Sasa we mtu kala makande yake huko halafu anajamba eti ndo nitajua kwamba ni mkweli? Jamani..unayatoa wapi? Au unatafuta excuse kwa vile unajambajamba ovyo? Pumbaf! weka kufuli hapo!

Sasa kama tunakaa muda karibia wote pamoja mie nikasunsudue wapi? Unaongelea mahusiano ya kubip wewe. Kama mpenzio akila kande anakuwa wmd basi si umletee firigisi, eboo? Sasa mnaweza kutumia toilet pamoja?
 
Hehehe, sasa ina maana utapanga foleni chumbani kwako mwenyewe?
Aaagggghhhhhrrrr.....:nono:😛uke:

:A S 11::A S 11:. Kutsuuuutsuuu ndo habari ya mujini
basi hujawa passionate enough bana!

Shangaa na wewe kaka. Watu wanaogopa ze wind inayolast for 10 seconds tuu! Nahisi wanatuibia hapa
Hii mbona iko poa tu...kujambiana kwa wapendanao it's just okay..
If they can perform the other nasty things together , then, what's the hell with farting?
I don't see whether its a big deal..........
 
hahahaha mzee kweli noma aiseee, hapo kaukweli kako sana
 
Room mate wangu chuo aliniambiaga 'ukiona huwezi kubreak ze wind mbele yake and laugh about it, he is not the one!'

Lol..hii kali
Ila mimi naona hata mapenzi yanahitaji ustaarabu pia..
Na hilo jambo halijakaa kinamna na kudumisha ustaarabu..
Ni sawa na kuwa mlevi sana halafu ukasema asiyenipenda nilivyo hanifai..it doesn't make it right..
Kama ni kitendo cha kujivunia sana unaweza kukifanya mbele ya bosi wako?!au pengine mbele ya wakwe?!..
 
Je ikiwa ni first date halafu akaachia hewa ukaa, hii inakuwaje jamani?

Eti wengine wanajizuia kutoa hewa hiyo kwa kuhofiwa vibaya (0713 is involved)
 
kwa wapendanao kujamba mbona ki2 cha kawaida mm dem wangu wakati namnanii lazma ajambe
 
Mwanaume kujamba ni 'accident'
mwanamke kujamba ni 'sexy'
ahahahahhahahhahahaaaaaaaaaaaaaaa nani hataki kuwa sexy sasa! King'asti enh kujamba kwa kwenda mbele!
LOL!nishidwe yote hata hili ahahahhahahhaha hata sikubali!
 
Last edited by a moderator:
Lol..hii kali
Ila mimi naona hata mapenzi yanahitaji ustaarabu pia..
Na hilo jambo halijakaa kinamna na kudumisha ustaarabu..
Ni sawa na kuwa mlevi sana halafu ukasema asiyenipenda nilivyo hanifai..it doesn't make it right..
Kama ni kitendo cha kujivunia sana unaweza kukifanya mbele ya bosi wako?!au pengine mbele ya wakwe?!..
sas wakwe na bosi wangu ni mpenzi wangu!
af we ujue nimekumiss we potea potea tu!
 
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari

Anakupenda tu huyo hataki kuku embarrass na hewa chafu; kwani chooni mnaingiaga wote kujisaidia? kuna vijifaragha vingine ni vya kijinga lakini bado ni vifaragha tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom