Mke/Mpenzi asiyejamba.....

Mke/Mpenzi asiyejamba.....

Avatar ya boflo iko mwake

we jamba tu mkuu ila usijambe-jambe
 
Kuna ukweli hapa ila sikujua kama ni kuonyesha yuko free kwangu.....Ila ni ngumu kwa wale waliooa wenye umri wa watoto wao na kinyume chake.
 
Hahaha, ni kweli aisee. Sasa raha ya kuamka asubuhi mkaoge pamoja, mmoja akipupuu mwingine anaswaki! Maisha yenyewe mafupi haya aisee!
Roommate wako ana akili sana. Apart from kufanya mapenzi, kujamba ni kitu intimate sana. Kuna watu wachache sana unaweza kujamba mbele zao. Hata mama yangu najiuliza mara mbili mbili. But if you're able to break wind in front of your significant other, it just shows they hold a special place in your heart. :becky:
 
Nakuunga mkono 200% ,mkimbie hakufai.atakuficha mengi
 
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari

Tunatofautiana kweli humu. Mi ukitaka nikuchukie jamba mbele zangu. Umekuwa kama Wahindi ambao hawana break? Wanajamba kila mahali wakipita na pilipili wanayokula usiombe! Sasa we mtu kala makande yake huko halafu anajamba eti ndo nitajua kwamba ni mkweli? Jamani..unayatoa wapi? Au unatafuta excuse kwa vile unajambajamba ovyo? Pumbaf! weka kufuli hapo!
 
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari

Mbomongafu!
 
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari

Mbombongafu!
 
Hhahahahahahahahhaha
aiseee jf raha tupu!
Boflo uishi milele

Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari
 
Last edited by a moderator:
Jamba usijambejambe

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Boflo???hivi kukiwa kuna wanaume hapa Nyani Ngabu,pale BUJIBUJI,huku Kimbweka kwa nyuma yako yupo Funzadume....UTAJAMBA?
 
Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya miaka 2 na kuendelea ktk mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako achana nae faster. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha!?-? Tafakari
ww siyo mzima dogo au bwabwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom