Nasikia mke mdogo wa gwiji la muziki wa taarabu kama siyo vidole juu nchini mzee yusufu amepata ajali alipokuwa akiendesha gari la mumewe kwa kugonga mwenda kwa miguu ambaye amevunjika mguu.inasemekana mke mdogo huyo wa mzee yusufu alikuwa ameutwika vibaya kama siku karibia kuzimika alipokuwa anaendesha mkoko huo.kama kuna mwana jf yeyote mwenye taarifa za kina atumwagie hapa jamvini.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.