Mke kamkimbia jamaa yangu

Mke kamkimbia jamaa yangu

jamaa anampenda sana tu,hata enzi za uchumba tulipambana sana ili kum-win , alikuwa na mtu wake lakin tulitumia mbinu za kibabe sana hadi tukawachanisha tukamchukua

Hii ni uthibitisho mwingine kuonesha jamaa yako ana maamuzi ya kijinga...
 
Kuna wajinga huwa hawajui kuwa mwanamke anaforigi in luv halafu anatulia tuli😂
Mlifanya kosa kubwa sana. Hawa viumbe huwa wanapenda na wanataka kuolewa na mwanaume wanayempenda.
Tofauti na hapo atakusumbua sana. Kiufupi huyo mwanamke hakumpenda jamaa yako.
 
😅 sasa mwanaume mzima miaka 30+ unamlilia mwanamke arudi tena mwanamke mwenyew hana akili na ndoa yenyew ya mkeka... Wanaume sikuhiz mmekua wapumbavu sana, mnalilia mapenz kama wanawake.
The moment mwanamke anakuambia naondoka, the same time unaingiza mwanamke mwingine ndani...
iyo ni tit for tat
 
😅 sasa mwanaume mzima miaka 30+ unamlilia mwanamke arudi tena mwanamke mwenyew hana akili na ndoa yenyew ya mkeka... Wanaume sikuhiz mmekua wapumbavu sana, mnalilia mapenz kama wanawake.
The moment mwanamke anakuambia naondoka, the same time unaingiza mwanamke mwingine ndani...
hiyo inaitwa kata mti panda mti,tunza mazingira...
 
bado laki tano,,kulikuwa na competition kuna jamaa aliletaga posa kabla yetu na alitoa donge nono,ko si tukapandilia juu zaidi na ma mkwe tukuwezesha biashara yake akatupenda sisi ndo tuwe wakwe,,,broo mamb meng tulifanya ...

Hahaha...kila tatizo huwa dunia lina chanzo chake...huyo mwanamke mlionyesha kumpenda sana na kumyenyekea ..dunia ya leo utaumizwa sana....
 
sasa mwanaume mzima miaka 30+ unamlilia mwanamke arudi tena mwanamke mwenyew hana akili na ndoa yenyew ya mkeka... Wanaume sikuhiz mmekua wapumbavu sana, mnalilia mapenz kama wanawake.
The moment mwanamke anakuambia naondoka, the same time unaingiza mwanamke mwingine ndani...
Kheee kwl mnakua na vimchepuko vyenu pembeni
 
Japo sio wanaume wote ila vijana wetu wa siku hizi ukifuatlia mengi wanayolalamikia siku za usoni tutakosa wazee wa kushauri vijana. Kama hili tu dogo la nyama linasumbua vipi yakija makubwa. Sasa. Labda hiyo nyama tunayoambiwa hapa sio ile ya buchani ni kiambishi 😂.

Mwanamke mwenyewe goalkeeper halafu ndoa ya mkeka anaanza kusumbua hujazaa nae hata katoto. Chukua nguo zake peleka kwa wazazi uwaambie wewe hujaoa nguo. Kisha toa taarifa mahali salama ili akipata matatizo huko aishie hukohuko.

kibenten mwambie huyo rafiki yako furaha ya mtu hailetwi na vitu au mtu. Hivyo ni visababishi tu vya furaha. Atafute kisababiahi kingine cha furaha yake.

sasa mwanaume mzima miaka 30+ unamlilia mwanamke arudi tena mwanamke mwenyew hana akili na ndoa yenyew ya mkeka
 
Nina rafiki yangu dam dam kaoa mwaka huu mwezi wa pili,ndoa ya mkeka ya kiislam,kabla ya kuoana walikuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili.

Sasa jana umetokea ugomvi mdogo kisa mke alitaka jioni wale nyama na jamaa hakuagiza boda kupeleka iyo nyama ili ipikwe jioni.maisha yetu ni haya ya uswahilini katika hili jiji la Amos.

Sasa jamaa angu kabla ya haya mambo kutokea asubuh alikuwa amemwachia elf tano kwa ajili ya mboga tu maana kila kitu kipo ndani.sasa jamaa alimwambia kuwa nyama nimegairi tumia hiyo efu tano nilokwachia asubuh ununue mboga yoyote tule jioni mke hakumjibu chochote akakata simu.kufika usiku jamaa alirudi sa nne ana njaa ya atar kakuta mke kalala hajapika chochote jamaa akamaindi akamchapa kofi tatu tu.

Asubuh mapema jamaa huwa tunaenda nae kigamboni kufata mizigo ko alimwacha wife kalala,sa nne kakuta sms mke anasema KWAHERI NITUNZIE NGUO ZANGU UKIONA ZINAKUUDHI ZICHOME MOTO.

Kumpgia hapokei simu hata mi nkampigia hapokei simu yangu.

Ndo jamaa akawa anasema hii inshu ya kukuta mke hajapika imetokea mala mbili hii ni mala ya tatu sasa,na hizo siku zingine alikuwa anamuonya kwa maneno mke hasikii,,,
Tumepiga simu ukweni mama mkwe anasema hajamuona wala ndugu zake kwingine haonekani huko.

Leo mida ya sa nane kanitumia mimi sms anasema yupo kwa shoga yake ametoka kukata tiketi ili kesho aende singida kwa bibi ake eti hataki maisha hayo.

Jamaa hakawahi kumpgia jana ndo ilikuwa mala ya kwanza na anampenda kinoma uyu shemu.
shem ni under 24 jamaa ni 30s.

JAMAA ANAOMBA USHAURI AFANYAJE JUU YA HILI KEJELI SITAKI KAMA HUNA USHAURI TULIA.

(Samahanini kwa uandishi mbovu,mi nilivokuwa shule nilikuwa science pure so masuala ya imla,insha,nomino sijui vishaz tegemeo sivijui)
Utoto unamsumbua huyo binti. Akikua ataacha, ila pia kumpiga mke siyo solution tena ni kitendo kibaya sana na kinaharibu mahusiano haraka sana.
 
Na anaenda kuliwa Kama nyama. Watu wanamsukumia km wanacheza drafti.
 
Hapo dawa ni kuvunga, asimuulize la kheri wala la shari, akijishusha tu, huyo mwanamke akaona bila ya yeye jamaa hawezi, basi mchizi hapo imekula kwake.
haya,ila sidhan kama jamaa ataweza Jana tu hadi usiku ananipigia kama uyo mkewe kanitafuta
 
Duh kama mnada vile. So ng'ombe akauzwa to the highest bidder.
Sasa ubabe wote huo mnashindwaje kumlisha mtoto wa watu nyama daily kama anavyotaka?
hatukushindwa,hata akisema kuku kila siku tunaweza.
 
Hilo ndio tatizo kubwa. na humo ndimo udhaifu wa jamaa yako uliko.

Kwa urembo huo na umri wahuni wengi wa mjini wanafika bei na kumrubuni kirahisi na hela huyo binti na kwa akili za kushikiwa alizonazo atakuwa anamtumiwa na shoga yake kuwa linked na madanga.

Kuondosha shari namsihi jamaa yako atafte mke tena hamna mke humo.
hawez kumwacha jamaa atafanya kila namna.
 
Ndiyo matokeo yake. Unafikiri sisi wanaume pesa tunaokota mpk uache kupika kwasabb sijaleta nyama?
Ifike kipindi mridhike tu na hali zetu.
Na mitoto Yao kuishi bila baba,nadhan wanaume Kuna mahala pamebomoka Kwa kichwa.Japo ilipaswa apike mbona yoyote Kwa pesa aliyoachiwa
 
Back
Top Bottom