Mke kamkimbia jamaa yangu

Mke kamkimbia jamaa yangu

Kwa hiyo age miaka hii wanakuwa hawana akili ya maisha bado wadogo kiakili ingawa kimwili wameshakomaa.

Ni vema kijana atumie busara ya kumuelekeza taratibu kwa mahaba ataelewa haraka zaidi. Kwa umri wake yeye anatakiwa kuwa na experience ya akili za mabinti zina operate vipi ili aende nae kwa timing (ndio kuishi nao kwa akili kwenyewe).

Mambo madogo madogo kama hayo wala asiyape kipaumbele kwenye kichwa,mtu umerudi hajapika why ugombane nae,muamshe mwambie twenzetu tukatafute chakula my love ntazimia kwa hii njaa,fanya utani kabisa ila ndani ya nafsi yako unamuamsha na kumsumbua ili kesho ajue asipopika basi utamuamsha usiku mkatafute chakula.

Haina haja ya kugombana ataenda kuna umri atafika utaona automatically anaanza kuwa serious na mahusino yenu.

Hawa wa siku hizi hawapitishwi mafunzo ya unyago kuwaandaa kwaajiri ya ndoa tunaoa mabinti wamevurugwa akili hawapo serious na maisha wanamizaha mingi.
Akili za tamthilia za kiphilipino
 
Mpaka mwanamke kufikia huko, inaonekana jamaa alishaonyesha udhaifu wa kumpenda tangu mwanzo.
Anyways, kwa upande wangu, kwa hatua niliyofikia, mwanamke akileta za kuleta situmii nguvu nyingi, namfungulia mlango asepe lakini akiondoka, ndiyo imeisha hiyo.
Kama ni wewe au jamaa yako, nashauri mwanamke halazimishwi, mwache akaonje joto ya jiwe kwingine.
jamaa anampenda sana tu,hata enzi za uchumba tulipambana sana ili kum-win , alikuwa na mtu wake lakin tulitumia mbinu za kibabe sana hadi tukawachanisha tukamchukua
 
Dah kwahyo mahari jumla bei gani vitu vingine vinachekesha ndoa ya mkeka ukatoe mahari milioni 2 na bado unadaiwa
bado laki tano,,kulikuwa na competition kuna jamaa aliletaga posa kabla yetu na alitoa donge nono,ko si tukapandilia juu zaidi na ma mkwe tukuwezesha biashara yake akatupenda sisi ndo tuwe wakwe,,,broo mamb meng tulifanya ...
 
Kama kaondoka basi, akaoe kwingine tu.

Ila kwa unavyofunguka hapa huyo jamaa yako ni wewe mwenyewe.

Pole mkuu,ndio maisha hayo
hapa dar hatuna ndugu yoyote ko sisi ni ndugu ko najua vitu vyake vyote na yy anajua vyangu.
 
kila kitu dem anacho,,na nmzuri haswa,rangi ya mtume na shape la kufa mtu
Basi ikiwa ndio hicho anachokipenda basi haraka sana akimbie kuomba msamaha na ampigie magoti kuwa hatarudia tena kumbughudhi hata akikuta hayupo home na atapika mwenyewe siku akikuta hajapika.

Halafu awaonyeshe ndugu zake mahali pa kumzika mapema siku akifa baada ya kujilipua au presha ikipanda na kushuka
 
Basi ikiwa ndio hicho anachokipenda basi haraka sana akimbie kuomba msamaha na ampigie magoti kuwa hatarudia tena kumbughudhi hata akikuta hayupo home na atapika mwenyewe siku akikuta hajapika.

Halafu awaonyeshe ndugu zake mahali pa kumzika mapema siku akifa baada ya kujilipua au presha ikipanda na kushuka
daah!
 
Hapo hana mke, hata huko kwa bibi ni kisigizio tu shughuli ipo kwa michepuki au madanga
 
jamaa anampenda sana tu,hata enzi za uchumba tulipambana sana ili kum-win , alikuwa na mtu wake lakin tulitumia mbinu za kibabe sana hadi tukawachanisha tukamchukua
Hapo ndiyo mlikosea, mwanamke halazimishwi au wala haitajiki nguvu kuwa naye, kama utatumia nguvu nyingi kumuwin kuna uwezekano mkubwa akarudi alipotoka, kwa sababu ulitumia nguvu nyingi. Na inawezekana bado anawasiliana na huyo jamaa yake.
 
Hiyo pesa siwezi kutoa hata kama ni bikira.
Hapo naongeza milion 1 naenda kununua kiwanja cha milion 3. Mahari nitatoa mwisho laki 5 ila siyo vinginevyo.
Kama alioa Mnyaturu au mnyiramba imekula kwake. Hawa watu wanaoana wenyewe kwa wenyewe. Wanaviburi, dharau na wepesi kuliwa.
Mpe pole sana
uchungu wa mahari bado haujapoa tulitoa mil 2 cash na bado tunadaiwa.
 
Back
Top Bottom