Mke kamkimbia jamaa yangu

Mke kamkimbia jamaa yangu

Kwa hiyo age miaka hii wanakuwa hawana akili ya maisha bado wadogo kiakili ingawa kimwili wameshakomaa.

Ni vema kijana atumie busara ya kumuelekeza taratibu kwa mahaba ataelewa haraka zaidi. Kwa umri wake yeye anatakiwa kuwa na experience ya akili za mabinti zina operate vipi ili aende nae kwa timing (ndio kuishi nao kwa akili kwenyewe).

Mambo madogo madogo kama hayo wala asiyape kipaumbele kwenye kichwa,mtu umerudi hajapika why ugombane nae,muamshe mwambie twenzetu tukatafute chakula my love ntazimia kwa hii njaa,fanya utani kabisa ila ndani ya nafsi yako unamuamsha na kumsumbua ili kesho ajue asipopika basi utamuamsha usiku mkatafute chakula.

Haina haja ya kugombana ataenda kuna umri atafika utaona automatically anaanza kuwa serious na mahusino yenu.

Hawa wa siku hizi hawapitishwi mafunzo ya unyago kuwaandaa kwaajiri ya ndoa tunaoa mabinti wamevurugwa akili hawapo serious na maisha wanamizaha mingi.
Niliwaza tofauti, asante kwa ushauri huu nikiingia kwenye ndoa ntauzinhatia.

Kumbe ilikua ishu ndogo sana, assee
 
Huyo mwanamke alikuwa anatafuta tu sababu ya kuondoka kwa jamaa, pengine kabla ya kuolewa alikuwa na matarajio makubwaaa kufika ndoani kayakosa........... . Serious kabisa mtu na akili zake timamu unanuna eti kisa nyama?
 
sasa mwanaume mzima miaka 30+ unamlilia mwanamke arudi tena mwanamke mwenyew hana akili na ndoa yenyew ya mkeka... Wanaume sikuhiz mmekua wapumbavu sana, mnalilia mapenz kama wanawake.
The moment mwanamke anakuambia naondoka, the same time unaingiza mwanamke mwingine ndani...
jamaa hajalia lkn ana stress tu,si unajua mapenz tena hayachagui umri,afu jamaa angu ni wale good guy akipenda anapenda
 
NYAMA YAVUNJA NDOA... sasa unaoa mtoto mdogo aiseelewa kuna kukosa unategema nini.. mpe pole jamaa ila huyo mtoto hakuwa tayari kusettle kwenye njaa alliitaji mtu aliejipanga na kujikamilisha
jamaa njaa wala yuko vizuri tu,na sio hakuwa na uwezo wa kununua hiyo nyama ni vile gari letu tulobebea mzigo lilikwama njian ko tukachelewa kufika Town ko mda wa kutuma mboga home ukawa umetait
 
Mwambie huyo jamaa kwamba, dem ana jamaa mwingine ndio maana kaanza visa.
Na possibly huyo dada alishaanza ku regret kuolewa wakati bado yuko kwemye peak. Anaona ndoa inambana ndio maana analeta vi sababu vya kiwaki.
asante
 
Kabila halina nguvu mbele ya dini usiwasingizie wasukuma. Mkuu huyu sio rafiki yako bali ni wewe maana unajua kila details aiseee.

Oa tu mwingine pale umeshapata hasara
mi na jamaa ni kama ndugu yangu,,na tumetoka wote mkoa mmoja,tulikutana nae chuo apo udsm na tulikaaga geto moja,baada ya chuo hatukurudi mtaan tulipambana hapahapa hadi leo hii,ko chake ni changu changu ni chake.umeelewa hadi hapo,
 
Aachane kwanza Jamaa asioneshe kutetereka kabisa
Kwa kifupi awe kama vile alivokuwa na mwanzo asioneshe kuwa bila huyo dem hawezi kuishi
Akifanya hivoo tuu kwa mda hata miezi miwili Ataamua mwenyew amrudishe, asioe au aoe mwingine
Maana hajatoa taraka Badoo
 
Hahaha hii ni kweli kabisa, kuna kipindi nilkuwa na demu moja la singda, yule demu alkuwa anapenda nyama si mchezo, asipokula nyama baada ya siku 2 ni minuno hapo ndani

Ukimpgia simu apike kitu simple kama tambi, ukifka getto unakuta kajilaza wala hajapika wala hana mpango

Mademu wa singida-wanyiramba huwaambii kitu kuhusu nyama
 
Alipenda sura na mwili au Tabia njema na nidham.

Ikiwa alipenda sura na mwili amuombe msamaha kwa kumpiga vibao vitatu tu yaishe.

Ikiwa alipenda tabia na nidhamu amwandikie talaka haraka aende zake. Tabia haina dawa mpaka mhusika mwenyewe aamue kubadili baada ya kujitambua
 
Back
Top Bottom