kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 17,659
- 21,870
Kingine umri miaka 30 kuoa 24 unataka nn
Niliwaza tofauti, asante kwa ushauri huu nikiingia kwenye ndoa ntauzinhatia.Kwa hiyo age miaka hii wanakuwa hawana akili ya maisha bado wadogo kiakili ingawa kimwili wameshakomaa.
Ni vema kijana atumie busara ya kumuelekeza taratibu kwa mahaba ataelewa haraka zaidi. Kwa umri wake yeye anatakiwa kuwa na experience ya akili za mabinti zina operate vipi ili aende nae kwa timing (ndio kuishi nao kwa akili kwenyewe).
Mambo madogo madogo kama hayo wala asiyape kipaumbele kwenye kichwa,mtu umerudi hajapika why ugombane nae,muamshe mwambie twenzetu tukatafute chakula my love ntazimia kwa hii njaa,fanya utani kabisa ila ndani ya nafsi yako unamuamsha na kumsumbua ili kesho ajue asipopika basi utamuamsha usiku mkatafute chakula.
Haina haja ya kugombana ataenda kuna umri atafika utaona automatically anaanza kuwa serious na mahusino yenu.
Hawa wa siku hizi hawapitishwi mafunzo ya unyago kuwaandaa kwaajiri ya ndoa tunaoa mabinti wamevurugwa akili hawapo serious na maisha wanamizaha mingi.
jamaa hajalia lkn ana stress tu,si unajua mapenz tena hayachagui umri,afu jamaa angu ni wale good guy akipenda anapendasasa mwanaume mzima miaka 30+ unamlilia mwanamke arudi tena mwanamke mwenyew hana akili na ndoa yenyew ya mkeka... Wanaume sikuhiz mmekua wapumbavu sana, mnalilia mapenz kama wanawake.
The moment mwanamke anakuambia naondoka, the same time unaingiza mwanamke mwingine ndani...
jamaa njaa wala yuko vizuri tu,na sio hakuwa na uwezo wa kununua hiyo nyama ni vile gari letu tulobebea mzigo lilikwama njian ko tukachelewa kufika Town ko mda wa kutuma mboga home ukawa umetaitNYAMA YAVUNJA NDOA... sasa unaoa mtoto mdogo aiseelewa kuna kukosa unategema nini.. mpe pole jamaa ila huyo mtoto hakuwa tayari kusettle kwenye njaa alliitaji mtu aliejipanga na kujikamilisha
Si mahari huwa inarudi ama?uchungu wa mahari bado haujapoa tulitoa mil 2 cash na bado tunadaiwa.
ndugu zake upande wa kiume si wasukuma ko walipanga bei kubwa kinoma.
yaan hata mi nmeshangaaHuyo mwanamke alikuwa anatafuta tu sababu ya kuondoka kwa jamaa, pengine kabla ya kuolewa alikuwa na matarajio makubwaaa kufika ndoani kayakosa........... . Serious kabisa mtu na akili zake timamu unanuna eti kisa nyama?
mi na jamaa ni kama ndugu yangu,,na tumetoka wote mkoa mmoja,tulikutana nae chuo apo udsm na tulikaaga geto moja,baada ya chuo hatukurudi mtaan tulipambana hapahapa hadi leo hii,ko chake ni changu changu ni chake.umeelewa hadi hapo,Kabila halina nguvu mbele ya dini usiwasingizie wasukuma. Mkuu huyu sio rafiki yako bali ni wewe maana unajua kila details aiseee.
Oa tu mwingine pale umeshapata hasara
Umeongea point unafaha nikuoe weweTatizo alioa Singida...
Huwa hawatuliagi wanawashwa...
Naunga mkono neno moja hadi lingine mpaka mwisho wa sentensi zote.Mwambie huyo jamaa kwamba, dem ana jamaa mwingine ndio maana kaanza visa.
Na possibly huyo dada alishaanza ku regret kuolewa wakati bado yuko kwemye peak. Anaona ndoa inambana ndio maana analeta vi sababu vya kiwaki.