Mke kamkimbia jamaa yangu

Nina rafiki yangu dam dam kaoa mwaka huu mwezi wa pili,ndoa ya mkeka ya kiislam,kabla ya kuoana walikuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili.

Sasa jana umetokea ugomvi mdogo kisa mke alitaka jioni wale nyama na jamaa hakuagiza boda kupeleka iyo nyama ili ipikwe jioni.maisha yetu ni haya ya uswahilini katika hili jiji la Amos.

Sasa jamaa angu kabla ya haya mambo kutokea asubuh alikuwa amemwachia elf tano kwa ajili ya mboga tu maana kila kitu kipo ndani.sasa jamaa alimwambia kuwa nyama nimegairi tumia hiyo efu tano nilokwachia asubuh ununue mboga yoyote tule jioni mke hakumjibu chochote akakata simu.kufika usiku jamaa alirudi sa nne ana njaa ya atar kakuta mke kalala hajapika chochote jamaa akamaindi akamchapa kofi tatu tu.
Kuna uzi humu unasema kuolewa bongo ni kama ajira ...sikuelewa ila sasa nimeelewa
 
jamaa njaa wala yuko vizuri tu,na sio hakuwa na uwezo wa kununua hiyo nyama ni vile gari letu tulobebea mzigo lilikwama njian ko tukachelewa kufika Town ko mda wa kutuma mboga home ukawa umetait
Ikiwa aliachiwa pesa ilibidi afanye kilichowezekana. Badala yake alikata simu bila kujua kwanini mume kabadili ratiba.

Tabia Tabia Tabia. Akiendelea nae ataliabna kusaga meno. Amwache aende
 
Mpaka mwanamke kufikia huko, inaonekana jamaa alishaonyesha udhaifu wa kumpenda tangu mwanzo.
Anyways, kwa upande wangu, kwa hatua niliyofikia, mwanamke akileta za kuleta situmii nguvu nyingi, namfungulia mlango asepe lakini akiondoka, ndiyo imeisha hiyo.
Kama ni wewe au jamaa yako, nashauri mwanamke halazimishwi, mwache akaonje joto ya jiwe kwingine.
 
uchungu wa mahari bado haujapoa tulitoa mil 2 cash na bado tunadaiwa.
Unataka kumaanisha nini, mmenunua bidhaa ama? Mahari mlitoa kwa hiari yenu kama tamaduni kwa kila kabila kila jamii, hiyo ni lazima utoe sio ombi, shida inakuja pale mahari unapoiangalia kama ndiyo imenunua biadhaa mnakosea ipo siku mtawaza mmetoa pesa nyingi mkafanya maamuzi magumu mkaua
 
Alipenda sura na mwili au Tabia njema na nidham.

Ikiwa alipenda sura na mwili amuombe msamaha kwa kumpiga vibao vitatu tu yaishe.

Ikiwa alipenda tabia na nidhamu amwandikie talaka haraka aende zake. Tabia haina dawa mpaka mhusika mwenyewe aamue kubadili baada ya kujitambua
kila kitu dem anacho,,na nmzuri haswa,rangi ya mtume na shape la kufa mtu
 
Nina rafiki yangu dam dam kaoa mwaka huu mwezi wa pili,ndoa ya mkeka ya kiislam,kabla ya kuoana walikuwa kwenye mahusiano kwa miaka miwili.

Sasa jana umetokea ugomvi mdogo kisa mke alitaka jioni wale nyama na jamaa hakuagiza boda kupeleka iyo nyama ili ipikwe jioni.maisha yetu ni haya ya uswahilini katika hili jiji la Amos.

Sasa jamaa angu kabla ya haya mambo kutokea asubuh alikuwa amemwachia elf tano kwa ajili ya mboga tu maana kila kitu kipo ndani.sasa jamaa alimwambia kuwa nyama nimegairi tumia hiyo efu tano nilokwachia asubuh ununue mboga yoyote tule jioni mke hakumjibu chochote akakata simu.kufika usiku jamaa alirudi sa nne ana njaa ya atar kakuta mke kalala hajapika chochote jamaa akamaindi akamchapa kofi tatu tu.

Asubuh mapema jamaa huwa tunaenda nae kigamboni kufata mizigo ko alimwacha wife kalala,sa nne kakuta sms mke anasema KWAHERI NITUNZIE NGUO ZANGU UKIONA ZINAKUUDHI ZICHOME MOTO.

Kumpgia hapokei simu hata mi nkampigia hapokei simu yangu.

Ndo jamaa akawa anasema hii inshu ya kukuta mke hajapika imetokea mala mbili hii ni mala ya tatu sasa,na hizo siku zingine alikuwa anamuonya kwa maneno mke hasikii,,,
Tumepiga simu ukweni mama mkwe anasema hajamuona wala ndugu zake kwingine haonekani huko.

Leo mida ya sa nane kanitumia mimi sms anasema yupo kwa shoga yake ametoka kukata tiketi ili kesho aende singida kwa bibi ake eti hataki maisha hayo.

Jamaa hakawahi kumpgia jana ndo ilikuwa mala ya kwanza na anampenda kinoma uyu shemu.
shem ni under 24 jamaa ni 30s.

JAMAA ANAOMBA USHAURI AFANYAJE JUU YA HILI KEJELI SITAKI KAMA HUNA USHAURI TULIA.

(Samahanini kwa uandishi mbovu,mi nilivokuwa shule nilikuwa science pure so masuala ya imla,insha,nomino sijui vishaz tegemeo sivijui)
Jamaa auchune.. Asimtafute wala nini.. AIshie tu kutoa taarifa kwa ndugu wa mke kuwa hayupo naye na hajui aliko.. Basi..!!
 
Back
Top Bottom