Mke kama huyu anatufundisha nini na tatoo yake

kuna siku nilipata demu mpya, kuchungulia uwanja nikaona totoo na jina la njemba hapo hapo mzee aka sleep, biashara ikaishia hapo
hadithi za kitoto tutolee hapa,yaani asleep kwa ajili ya tatoo au unatuelezaa kuwa mzee wako ana tatizo la usingizi:rain:
 
Hivi mabega nayo sehemu nyeti eeh??.
Sijaona ubaya wa hiyo kitu hapo.
 
baadhi ya wanaume weusi sijui wana matatizo gani,kwani we unaoa tatoo au na mpaka unaoa unahitaji kufundishwa nini ambacho wazazi wako hawajakufundisha:rain:

si ndio hapo!
Tatoo yenyewe hata haipo sehemu mbaya.
Basi tu.
 
acheni mawazo mgando, kwahiyo wale wanawake wote wasio na tatto ni wema saaaaaaaaaaaaaaaaaana.
 
Sidhani kama ni mbaya hii naona kapendewa hiyo tatoo labda, si unajua kila mtu anaoa na kuolewa na wa design yake?
 
akufundishe kwani yeye mamako mzazi? mnh:A S 13:


kauli kali sana hiii, ingawa kwenye hii thread nlikuwa mpita njia ila imenibidi niweke neno.....jamani tuwape little respect mama zetu....tena jinsia ya kike ndo muwe mbele
 
Nimechanganyikiwa kichwa kinazunguka, yaani kuna wanawake humu JF wanaunga mkono kuchorwa chorwa mwilini!, eti wamakonde mbona nao!, eti mtu kachora jina la x- wake alafu mimi nione sawa, nikikereka eti mi mshamba!, no-hapana.
 
Anatufundisha

............. It is ok to express yourself
..............Staying true to ones self is less painfull than wasting away conforming to
society's beliefs
............. Stereo types do not faze her
..............Even to this day and age there are still a number of pple, who readily judge
that which they know nothing off
 
Anatufundisha

............. It is ok to express yourself
..............Staying true to ones self is less painfull than wasting away conforming to
society's beliefs
............. Stereo types do not faze her
..............Even to this day and age there are still a number of pple, who readily judge
that which they know nothing off
Hizi TIQO zitakoma kweli
 
mtu kama huyu anatufundisha nini ktk jamii..ama anawafundisha nini wakwe zake ama watoto wanaoudhuria harusi yake..anyway binfsi nimekuwa na maswali mengi nani kamweka hiyo tatuu na ukichungulia sana unaweza kuta majina ya watu..hawa madada zetu wanaandika majina sehemu nyeti bila kujua kuna MAHUSIANO YA MUDA NA MILELE

183150_10150191426498098_624983097_8965840_1456817_n.jpg

Toa msongo wa moyo, tattoo ni urembo tu, haina haja wewe ku analyse sana
 
Tattoo ya mgongoni si kwa ajili yake bali kwa mtu aliyekuwa naye kabla ya ndoa. Alikuwa anaenjoy kuitazama akiwa mkao wa doggie
 
mtu kama huyu anatufundisha nini ktk jamii..ama anawafundisha nini wakwe zake ama watoto wanaoudhuria harusi yake..anyway binfsi nimekuwa na maswali mengi nani kamweka hiyo tatuu na ukichungulia sana unaweza kuta majina ya watu..hawa madada zetu wanaandika majina sehemu nyeti bila kujua kuna MAHUSIANO YA MUDA NA MILELE

183150_10150191426498098_624983097_8965840_1456817_n.jpg

kwa akili yako hapo ni sehemu nyeti? Kiboboru kabisa.
 
mi naonaa tatoo sio tatizo la maadili mabovuuu jamani,je kwa upande wa baba mwenyee tatoo za kutoshaaa?je yeye atawafundishaa wakwee ninii?binafsi na tatoo kamaa 15 mwilini,na nilichoraa kipindi cha miaka 14 iliyo pitaa now na mkee na watoto watatu,still na ishi nao kwa maadili,ilaa ninapo fikiriagaa naonaa nilikoseaa sanaaa kuchoraa tatoo mwilini wangu si feel confortable kuvuaa shat mbele ya watoto,maana nina mitatoo ya kutishaaa.
 
Sio utamaduni wenu wewe na nani? Mnataka kila mtu awe kama dada yako na mama yako mzazi? Si ajabu baba yangu mie kwa malezi aliyonipa akikuona atajiskia huimfai mwanae kwa sababu flani!
Tattoo sio utamaduni wetu!
 
Back
Top Bottom