bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
aisee hii kweli digitali aisee yaani mtu anatafuta mke kama vile anaagiza gari kutoka nagatomo japan aisee nimeipenda hii hivi kwa nini na hii isiingizwe kwenye katiba mpya? eeeeeh jamani
halafu wewe mbona post zako zinanichekesha sana siku hizi........kina ndaga fijo weupe ni wachache
mwenzangu kina fiatu fyangu na weupe wapi na wapi? Haaaa nimeshangaa
rangi hapa lazima inunuliwe....wembamba ngumu sana itakuwa siyo product halisi kutoka mbeya!
Wadada wanaogopa?
Awe mwalimu au nesi yani Amesomea na ameajiliwa,umri 18-23,mweupe sio wa mikorogo,mkristo,awe anatokea mkoa wa Mbeya,mwembamba wastani,mrefu angalau ft 5.4na kuendelea awe mzuri wastani,ukiwa mzuri sna utanipa presha.na ajue kwamba hata jutia hata siku moja kuwa na mm,call 0766228346
.God bless me for this
simba unamuonaje alivyo jazia kifua?
hahahahahaha.....unakumbukumbu sana