jk_watatu
Member
- Mar 20, 2022
- 31
- 31
Hii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu:
Nahitaji mwanamke ambaye mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo pm kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.
Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa (government)pia ni mfanya biashara.
Ninako ishi: Dar es salaam.
Muonekano wangu: Si mnene wala si mwembamba sana, si mweusi wala mweupe sana.
Sifa za nimtakae:
Dini: yoyote
Umri: 18 - 50
Elimu: Kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Awe ameajiliwa au kajiajili.
Anako ishi: Iwe popote ila ukiwa Dar es salaam itapendeza.
Muonekano wake: Awe anajipenda, msafi mwenye adabu, heshima na utii.
NB: awe tayari kupima afya.
Naamini kuna wengine watadharau na kukejeri ila ninacho amini mke au mume mwema anatoka kwa Mungu na Mungu humpa mtu kwa njia yoyote ile hivyo hata hapa ni njia tu na ninaweza mpata mwenza wangu.
Nahitaji mwanamke ambaye mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo pm kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.
Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa (government)pia ni mfanya biashara.
Ninako ishi: Dar es salaam.
Muonekano wangu: Si mnene wala si mwembamba sana, si mweusi wala mweupe sana.
Sifa za nimtakae:
Dini: yoyote
Umri: 18 - 50
Elimu: Kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Awe ameajiliwa au kajiajili.
Anako ishi: Iwe popote ila ukiwa Dar es salaam itapendeza.
Muonekano wake: Awe anajipenda, msafi mwenye adabu, heshima na utii.
NB: awe tayari kupima afya.
Naamini kuna wengine watadharau na kukejeri ila ninacho amini mke au mume mwema anatoka kwa Mungu na Mungu humpa mtu kwa njia yoyote ile hivyo hata hapa ni njia tu na ninaweza mpata mwenza wangu.