Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,675
Haya bana!!!!!!!!!
Ukirusha hela juu wanakuacha unaondoka zako
Haya bana!!!!!!!!!
labda umchonge wa mbao........!?
naomba mechi ya kirafiki basii
kwani we upo single tinna cute?
ukute yeye ni mweusi sana so anatafuta wa ku neutralize.
Awe mwalimu au nesi yani Amesomea na ameajiliwa,umri 18-23,mweupe sio wa mikorogo,mkristo,awe anatokea mkoa wa Mbeya,mwembamba wastani,mrefu angalau ft 5.4na kuendelea awe mzuri wastani,ukiwa mzuri sna utanipa presha.na ajue kwamba hata jutia hata siku moja kuwa na mm,call 0766228346
.God bless me for this
hahaha... Anataka wawe na chotara la kibantu lol!
Jitahidi kusali makanisa ya Moravian, huko utawakuta wengi na utachagua miongoni mwao.
Kilimanjaro unamtaka mwenzako aangukie machame?
Kwelii?
Jamaa anataka kitu twiga
Mbeya hakuna whitish?
Yeah! niko single but occupied with 5men.
kwani DEMBA na Lady doctor mbeya hamna wembamba? Unataka niambia haiwezekani miss kutokea mbeya?
Wamachame wapole mbona, yeye tu ajiandae kumpokea mke mwema
halafu soma kinyume bana lol!
Nimekuelewa wimana . Mimi nimemshauri ndugu yetu aweke picha yake hataki kuchukua ushauri wanguNikujibuje Mtakatifu Ivuga? Sija-comment vile kwa nia mbaya yoyote ingawa najua miongoni mwetu wanaeza kuibua mjadala wa kidini kuanzaia hapo.
Nia yangu ni kmrahisishia ndugu aliyeanaisha thread hii.
aende Serengeti, Ngorongoro, Manyara au Mikumi
We ngoja tu
Wakija mimi simo!!!!
Lady doctor umepigaje limsumari sema ndio hivyo nimeshakupa trick.
Wakija kukuletea noma unarusha shilingi juu wakishaikimbilia ww unasepa zako