Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Atawaweza watoto wa kirangi??
CC afrodenz
hapo chacha.. maana hao nao akiwaendea kichwakichwa mbona atajicarry!!!
Atawaweza watoto wa kirangi??
CC afrodenz
awe ametokea mbeya halafu awe mweupe? labda weupe wa mkorogo
Mwambie mkono mtupu haulambwi ...lol!!!!!!!!!!!!!!!
hapo chacha.. maana hao nao akiwaendea kichwakichwa mbona atajicarry!!!
Bora kukicarry kuliko wenzako ndio wakukery
hahahaaa lazima awe giant...... Lion shape lol!
Aisee nimecheka kwa nguvu!!!
Watu mna mambo...'lion shape'!!! Hahahaaa..eeeh kweli kua uyaone.
hivi na Bukoba kuna wanawake weupe, I have never seen themadimu sana
Weka dau.
dau la nini wakati mechi mnacheza wote? Wizi tu!!
Kwako tabia yake sio muhimu! Njoo kwangu nikuchongee kinyago cha msichana wa vigezo hivyo.Awe mwalimu au nesi yani Amesomea na ameajiliwa,umri 18-23,mweupe sio wa mikorogo,mkristo,awe anatokea mkoa wa Mbeya,mwembamba wastani,mrefu angalau ft 5.4na kuendelea awe mzuri wastani,ukiwa mzuri sna utanipa presha.na ajue kwamba hata jutia hata siku moja kuwa na mm,call 0766228346
.God bless me for this
hahahahahaha.....unakumbukumbu sanaMwanzoni mwa miaka ya 90 kulikuwa na kibonzo nadhani nikwenye gazeti la mfanyakazi kilikuwa kinaitwa hivyo
"Tukunyema"
hahahahaha...umenichanganya na mambo ya hesabu..unamaanisha??hapo ni 10-9
Lady doctor lion shape ndio shape gani?