Mke jamani

Mke jamani

Awe mwalimu au nesi yani Amesomea na ameajiliwa,umri 18-23,mweupe sio wa mikorogo,mkristo,awe anatokea mkoa wa Mbeya,mwembamba wastani,mrefu angalau ft 5.4na kuendelea awe mzuri wastani,ukiwa mzuri sna utanipa presha.na ajue kwamba hata jutia hata siku moja kuwa na mm,call 0766228346
.God bless me for this
Una umri gani dogo?
 
Aaaa nimefurai sna kwa hoja zenu,kwali hili jukwaa tunathaminiana sana,yani nimebaki nacheka na kufurai,Mungu awabariki sana wote mlio changia kwa kunishauri na mengine mengi,wamachame wanatisha eeee!"hiyonzuri tuko pamoja ndugu zangu
 
kwani DEMBA na Lady doctor mbeya hamna wembamba? Unataka niambia haiwezekani miss kutokea mbeya?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom