Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Awe ametokea mbeya halafu awe mwembamba? Labda awe na ngoma
hahahaaa lazima awe giant...... Lion shape lol!
Awe ametokea mbeya halafu awe mwembamba? Labda awe na ngoma
lady doctor we lini sasa tunakula pilau
mwenzangu si ndio nimeshangaa rangi nyeupe mbeya siyo kihivyo sanahahahaaa kidogo niseme nikaona wakiibuka akina ndaga fijo patakuwa hapatoshi lol!
Kabisa tuchangie hiyo pilau.
mwenzangu si ndio nimeshangaa rangi nyeupe mbeya siyo kihivyo sana
Ila hapa inawezekana anatafutwa mtu wa kugegedwa hapa.
bora hata angesema Singida, Tanga au kilimanjaro
bora hata angesema Singida, Tanga au kilimanjaro
hahahaaa lazima awe giant...... Lion shape lol!
naomba mechi ya kirafiki basii
Una umri gani dogo?Awe mwalimu au nesi yani Amesomea na ameajiliwa,umri 18-23,mweupe sio wa mikorogo,mkristo,awe anatokea mkoa wa Mbeya,mwembamba wastani,mrefu angalau ft 5.4na kuendelea awe mzuri wastani,ukiwa mzuri sna utanipa presha.na ajue kwamba hata jutia hata siku moja kuwa na mm,call 0766228346
.God bless me for this
Weka dau.
Weka dau.
Kilimanjaro unamtaka mwenzako aangukie machame?
mechi ya hisani inakuwa haina dau bana
Akishindwa mwambie nimkopeshe....lol!!!