Nimecheka mno..!!Mkeo ni co driver, mama yako ni muheshimiwa; it depends na aina ya Gari lkn; isije ikawa pick up halafu umkalishe muheshimiwa nyuma.
Hivi kukaa mbele maana yake ni heshima au?
Maana naona wanaokodi taxi hawakai mbele, maraisi hawakai mbele eti mbele ni kwa co driver!
Mkeo ni co driver, mama yako ni muheshimiwa; it depends na aina ya Gari lkn; isije ikawa pick up halafu umkalishe muheshimiwa nyuma.
kwani anayekukalia mbele huwa nani?
Huyo huyo akae mbele ya gari, tena kule kwenye boneti ndio mbele zaidi awahi kufika.
Vyovyote iwavyo, kwangu mimi Mama kwanza mwingine/wengine wote baadaye! Acheni kujifanya hamjui nani alitangulia kati ya Mama na Mke, huo utakuwa ni upuuzi wa hali ya juu!hili nishaliwazaga,una gari 2 seater,uko na wife,mvua inanyesha.....unamkuta mama yako mzazi anakimbia,mvua inamnyeshea,,,,utachukua hatua gani?
mi nikionaga hali fulani huwa najidai "mama wewe kaa hapo mbele mimi nikae huku na watoto, watakusumbua" wakati watoto wangu huwa wanajikaliaga peke yao nyuma na wala hawana shida.Hii kitu ni serious sana wakuu...kwa familia zetu za kibongobongo...
Kuna jamaa yangu alijikuta katikati ya ugomvi mkubwa kati ya mke na mama.
Nani akae wapi hamna wa kuwapangia, yategemea matarajio ya familia yako. Kama mama anadhani ni heshima kwake na haki yake kukaa siti fulani, ni vema mke akajifunza kukubali.....kuepusha magomvi yasiyo na maana.
Utii wa ukaaji bila shurti......